Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Akha kha kha Kha khaa Smart911 acha kabisa ni levo zingine Yulee kwake nimedattttttaaaa kabisa Vyenye ananimarrlliiiiiza hakuna mfano..

Nampendajeeee [emoji126] [emoji126]


Hahahaa ulishaambiwa maharage matamu kama haujawahi kuonja kuku...
 
Maombi yaligoma jamani mlokole kageuka mtu wa mkoleni na lishetani la zinaa juu wacha achapiwe tu,pia sina shaka hata mtoto kabambikiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Finally lara1 umeshusha mzigo...huyu mlokole sio mtu wala nini yeye kum cheat mkewe(japo ndoa yenyewe alijipasishia)hakuona ishu wala hakuumia ikamuuma mchepuko kuchepuka?hivi wanaume mwalimu wenu ni nani?hapa ndo nashindwa kuwaelewa kwakwel...
 
Finally lara1 umeshusha mzigo...huyu mlokole sio mtu wala nini yeye kum cheat mkewe(japo ndoa yenyewe alijipasishia)hakuona ishu wala hakuumia ikamuuma mchepuko kuchepuka?hivi wanaume mwalimu wenu ni nani?hapa ndo nashindwa kuwaelewa kwakwel...
Mwl wetu tushazika kama tulivyozika mwl wa wanawake so ngoma dro labda tukatambikie kwenye makaburi yao na kuyafanyia usafi labda[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Finally lara1 umeshusha mzigo...huyu mlokole sio mtu wala nini yeye kum cheat mkewe(japo ndoa yenyewe alijipasishia)hakuona ishu wala hakuumia ikamuuma mchepuko kuchepuka?hivi wanaume mwalimu wenu ni nani?hapa ndo nashindwa kuwaelewa kwakwel...

Mwalimu wa wanaume alishakufa hata hivyo wanasema enzi za uhai wake vyeti yake viligubikwa na ukakasi sana....huyo mlokole sio tu kwamba alicheat kwa mkewe, aliuza mechi kwa muathirika.
 
Akha kha kha Kha khaa Smart911 acha kabisa ni levo zingine Yulee kwake nimedattttttaaaa kabisa Vyenye ananimarrlliiiiiza hakuna mfano..

Nampendajeeee [emoji126] [emoji126]


Muulize vizuri Smart911 ukute na yeye alishawahi kumiliki antenaless ndio maana ana mapafu kama ya mbwa, akianza show Siza hatii mguu.
 
Mwalimu wa wanaume alishakufa hata hivyo wanasema enzi za uhai wake vyeti yake viligubikwa na ukakasi sana....huyo mlokole sio tu kwamba alicheat kwa mkewe, aliuza mechi kwa muathirika.
Na haishii hapo tu kwenye kuuza mechi atatafuta koloni jingine soon
 
doleee wanaume wamezidi bwana wacha nao waumizwe tu maana wao wakicheet sisi ndo huwa hatuumii
 
Muulize vizuri Smart911 ukute na yeye alishawahi kumiliki antenaless ndio maana ana mapafu kama ya mbwa, akianza show Siza hatii mguu.

Weeeeeeeeeeeeeeeeeeh usimtaje taje mume wangu Smart911 atajing'ata bureeeeeee yupo makini shoo zake si za nchi hii ohoooooooooooooooo

Na umuwache Smart911 wanguuu


teh man of the people love triangle

engo wani antenaless mwenyewe
engo twuu mercy engo thrii Ninani vileee??
 
Back
Top Bottom