Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwl wetu tushazika kama tulivyozika mwl wa wanawake so ngoma dro labda tukatambikie kwenye makaburi yao na kuyafanyia usafi labda[emoji2] [emoji2] [emoji2]Finally lara1 umeshusha mzigo...huyu mlokole sio mtu wala nini yeye kum cheat mkewe(japo ndoa yenyewe alijipasishia)hakuona ishu wala hakuumia ikamuuma mchepuko kuchepuka?hivi wanaume mwalimu wenu ni nani?hapa ndo nashindwa kuwaelewa kwakwel...
[emoji23] [emoji23]Mwl wetu tushazika kama tulivyozika mwl wa wanawake so ngoma dro labda tukatambikie kwenye makaburi yao na kuyafanyia usafi labda[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Maombi yaligoma jamani mlokole kageuka mtu wa mkoleni na lishetani la zinaa juu wacha achapiwe tu,pia sina shaka hata mtoto kabambikiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Finally lara1 umeshusha mzigo...huyu mlokole sio mtu wala nini yeye kum cheat mkewe(japo ndoa yenyewe alijipasishia)hakuona ishu wala hakuumia ikamuuma mchepuko kuchepuka?hivi wanaume mwalimu wenu ni nani?hapa ndo nashindwa kuwaelewa kwakwel...
Akha kha kha Kha khaa Smart911 acha kabisa ni levo zingine Yulee kwake nimedattttttaaaa kabisa Vyenye ananimarrlliiiiiza hakuna mfano..
Nampendajeeee [emoji126] [emoji126]
Na haishii hapo tu kwenye kuuza mechi atatafuta koloni jingine soonMwalimu wa wanaume alishakufa hata hivyo wanasema enzi za uhai wake vyeti yake viligubikwa na ukakasi sana....huyo mlokole sio tu kwamba alicheat kwa mkewe, aliuza mechi kwa muathirika.
teh bado uko hai? mnyongaji amekuacha huruhahahaah harusi kwa msaada wa baba mkwe uwiii!
Muulize vizuri Smart911 ukute na yeye alishawahi kumiliki antenaless ndio maana ana mapafu kama ya mbwa, akianza show Siza hatii mguu.