WHATEVER YOU DO IN DARKNESS COMES TO LIGHT.
Nikaanza kumsaka my wife, my love. Nimemtafutaaaa sanaaa. Baadae akaniambia alipo. Nikamfata kwanza. Tifuuu lake halikuwa la nchi hii. Kumbe siku hio 40 imefikaaa imefikaaa kweli kweli. Kumbe sio tu Naima ndo alipiga simu. Boss yule m central Africa ndo alipiga piaaa. Na Mke wangu wa kwanza sijui alikumbuka nini nae akawa kapiga simu, atleast mke wangu wa kwanza nitasingizia watoto na nini ila hizo ngoma 2.
Kilichoniumiza kichwa, sijui Naima kamwambia nini mpaa mda huo, simu anayo mwenyewe wife. Akanikomalia funguaaa. Toa password. Nikatoa. Uzuri mimi mwenzenu simu naipiga deki masaa 24. Akaikaguaaa haikuwa na ushahidi wa moja kwa moja wala nini. Ila ndo hivooo palichimbikaaa.
Aliumiaaa sanaaa. Mnoo mnooo. Akasema kwamba ananiachia watoto yeye akatafute maisha mengine. Sio lazima kuishi wote wala nini. Nimembembelezaaa nimembembelezaaa, nimembembelezaaa mpaka basi. Akagomaaa. Mkumbuke mimi ni MOTP OG sio fekeroooo. Nikaingia kazini kujipigia siasa. Mke wangu ananipenda sanaaa, i can say i am her world.
Hamuwezi amini jitihada zangu zikazaa matundaaa mema, huku na huku nambembeleza usiku kuchaaa, aubuhi akanipa cha asubuhi cha kuagana nikajua ngoma imekwishaaa. Asikwambie mtu makeup sex ni tamuuuu sanaaa. Nilimpa mambooo maziooo sanaaa. Mambo yasiyo ya dunia hiii. Nikaondoka na ndege ya asubuhiii, mahaba niue yanaendelea, mara akumbuke ufirauni wangu. Mradi ndo ishakuwa tia maji tia maji. Sikutaka kupanga utetezi sababu sijui Naima kaongea nini mshenzi yuleee.
Nimefika huku Nai, kila mda nampigia simuuu. Mara akaniambia watoto ananiletea yeye anaondoka zake. In short nilichokaaa kumbembelezaa. Myabe its for the best. Nikasema najaribu one last time, akizingua BAAAAAAAASSS. Napiga chini. Siwezi kuihi maisha hayana consistency, one time umenisamehe we are having sex, the next unapaki mabeg. I just cant ndugu wasomaji. Haya ndo matokeo unalala usingizi unashangaa mtu ana kutwanga shoka la shingo.
Kama she is not able to get past it, fine, i understand, ill give her all the time she wants if its time she wants au akitaka its over pia sawaa. Resolution niliofikia sio ya kwenda kwa Naima wala nini. Nimeanza kutafuta a bigger cousy house, ilio kwenye mazingira yanayofaaa kulea watoto. Namleta na mama yangu, nawachukuwa hao watoto wa Mercy na wale wa Arusha wanakuja kulelewa na maza wangu, afu sasa hapo Mzee baba full shangwe full kujiachia. Ila i gave it one last try.
Nikamwambia mke wangu nimebadilika sio kidogoooo. Kwanza mi ni cha pombeeee, hakuna mfanooo. Alafu umalaya huo uliosikia ni mdogo sanaa, kuna mwingi mwingi sanaa, hujaujuaaaa. Mwingi sio kidogooo. Nilitaka kumpanikishaaa zaidi tu. Mi navoona mke wangu nina jini mahaba. Its not feelings, its love na hao wanawake wengine sababu huyo Naima hayuko peke yake wako wengi tu si mapepo haya mke wangu kweli?
Hapo ananiambia nakupigia simu kukuaga, wanao utawakuta kwa mama ako, mi nishachukua nguo zangu narudi kwetuuu, kufanya yanguu mengine. Hahahahaaa! Acheni kabisaa msithubutu kukutwa na bwana pepsi. Nikamwambia sasa mke wangu mi kama nilivokwambia nina mapepooo, badala unisaidie kuniombeaa, kunihangaikia kwa wachungaji ndo unaondoka unanitelekezaa nife kwenye hii zinaaa, kweli Mercy the love of my life, nachomekea na gia namba 5 kidogo.
Kukupenda nakupenda wewe pake yako, dunia nzima hakunaaa. Ila hawa wanawake wananirogaaa my wifee, wananifanyia mambo ya kiswahili, wameniweka kwenye chupaa, unakumbuka ile movie ya suicide mission baby. Wamenilisha madawaaa. Mimi sio akili yangu hii kabisaaa.
You will not believe it it worked just fineeeee! Mzee baba nikawini, wife akarudi ndani ya mjengooo. Well it worked out for now. Basi yuko concrned, namuona whatsup anaweka profile mambo ya ki Mungu hatariii. Insta ndo usiseme. Our marriage is under DEMONIC ATTACKS acheni kabisaa ndugu wasomajiii. Pepo wachafu washindwe na walegeee.
Na mimi nampigia simuu kila mdaaa. Kama namtongozaaa upyaaaaa. Ndo tuko hii stage ya transition. Mniombee sana ndugu wasomaji, pepo wabaya washindweee na walegeee kabisaaa. Ndoa yetu idumu miaka 100, tuzeeke wote na Mercy kipenzi cha maisha yangu.
Hamuwezi amini li Naima linanitafutaaaa kwa tochi. Linataka tukutane tuongee mara tutokee. Nalichinjia baharini. Hivi hili janamke kama halitaki nilile Tigo na kutatua rinda zote linataka kitu gani. At first niliongea nae nilitaka kujua kamwambia nini mke wangu. Anipe from her side.
Akasema wife alimpigia kwa namba yake, akamuuliza unamjua flani, akasema namjua! Mmeona lilivo senge hili dada, akamwambia nina tarifa unatembea na mme wangu. Akadi akakaaa kimya. Jamani sio kuni setup huko jamanii. Kwanini asikanushe sio kweli, kwanza MOTP ndo nani? Mbona simjuiii? Basi wife akamwambia
Kwanini unanichukulia mume wangu? Kama ni Mume omba Mungu sanaa, na mimi nitaklusaidia kuomba akupe Mume wako, sio kunichukulia mimi mume. Mmmmmh! Namsikiza tu, moyoni nasema mwenzio anaomba ufe nimuoe yeye we unasema aombe mme mda huo anao. Na ujinga ujinga mwingine tu uliendelea wa yeye Naima kuniuaaa kwa wife wazi wazi waa hakujibanaaa. Nilichefukwaa kupita maelezo. Mda wote wa hii hali ya tahadhari ananikaba kama lubaaaa, anataka tuendelee na mahusiano, she will help me relax. Mxiuuuuuuuuuuuuuuuu.
Mara oooh eti tukae kikao, mimi mke wangu na yeye!!!!!!!!!!!1 Khaaaaaaaaaaaaaa! Hivi huyu malaya ana akili timamu kweliii? Kabisaa nimuweke meza moja na wife mxiuuuuuuuuuuuuu. In short mpaka mda huu bado anaisumbuaaa, mnajua anaisumbuaaa kama sijui kitu gani. Yaani wazi wazi inaonesha kasherekeaaa anguko la ndo yangu. Na anaona Mercy anachelewa kuachia mjengo aingie yeye nyoko kweli huyu mwanamke.
Mpaka mda huu the only reason sija mla block ni sababu tu anapafahamu napoishi, na kazini kwangu na ma boss zangu, sitaki tu aje aniletee scene ofisini au napoishi. Napoishi nataka kuhamaaa sooon iwavyo na iwavyo ia kumdhibiti ofisini ndo itakuwa ngumu. Ndo maana akinipigia niko busy, tuonane nio busy. Sijui nini sina mda. Nampa makavu mpaka anafurahi na roho yake.
Kwa wife kidogooo hali shwariii. Hakumbushii mamboyake ya kuondoka for now. Ila nyumba kubwa bado natafuta just incase akiamua vinginevyo, nawachukua wanangu, na wale wengine, nakuwa sasa SENIOR BACHELOR.
Mkiona uzi wa UNCLE FREDDY UMEKUJA PART 2 MJUE MIMI SENIOR BACHELOR. Hata ndoa iki survive tsunami hii sina uhakika huko mbele ita survive catrina, na sina hakika kama nitaadilika na kuacha. Au na mapepo kweliii, or not every body was meant to be a married man. Sijuiiiii. Ila for now niko in cross roads.
THE END.