Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Jamani naombeni msaada wa dawa wa jino linauma balaa aseeeee jana hadi kula nimeshindwa
Ni kung'oa tu mkuu no way out usidanganyike la kama unataka kulala vizur weka vumbi la mkongo utalala safi snaa
 
Muhimu: Uzi huu hauhusishi matatizo ya nguvu za kiume, tayari kuna uzi wake maalum jukwaa la mapenzi

Huu ni uzi spesho wa mirejesho yetu tuliowahi kutumia tiba asili na zikatusaidia, yaani sisi ndio tuwe mashuhuda sio kukopi ma kupesti humu.

1. Nilikuwa nakula samaki ghafla kimfupa kikanikomea kwenye koo, nilijaribu kukohoa kwa nguvu lakini wapi, kuna rafiki yangu alikuwa mtu wa kanda ya ziwa akanipikia ugali mgumu, niliambiwa nipige tonge zile kubwa bila mboga yoyote, Tonge la kwanza tu mfupa ukateremka nikabaki nashangaa na nilimshukuru sana, nilikuwa nimepanga niende hospitali ila rafiki alinisaidia.

2. Funza kwenye kidole anaesababisha kidole kivimbe na maumivu makali, maumivu yalikuwa makali sana, nilienda hospitalini wakaniambia kucha itolewe, niliwaambia hakuna tatizo ntakuja, ulifikiri nilienda !! nikiwa natafta njia mbadala nikaambiwa na dada flan kaishi bush utotoni kwamba dawa ni kuvaa ndulele / turatura / ndura / nyanya pori, yaani unaichuma unaikata juu na chini iwe kama pete alafu unaivaa iishie ile sehemu yenye mdudu, ule utomvu ni sumu kwa mdudu yule, yaani ukiivaaa atahangaika sana mpaka afe ila nawe mda huo chamoto utakiona, akifa maumivu yanaisha na kidole kinakuwa na usaha, unakitoboa huhisi maumivu yoyote yale, unakamua usaha wote.

3. Kwikwi - hii dawa yake ni kunywa maji, ama upate uwoga mfano utishiwe umeiba kitu, kuna nyingine ni sugu sijajua wanatibu vipi.
Ngoja waje wenye upungufu wa nguvu za kiume jiandae
 
Oga sabuni ya detmold nyeusi na chumvi ya mawe kaamulia huko limao 2 kika siku kataa uchawi na nguvu zote za kiganga ulizotupiwa niko kwa wakala utabiambja nikupe no
 
mkojo wako wa asbh ukitaka kitu andika weka ndani ya Kopp semea aa chukua perfume pulizia fiche siku 3 sehenu ya giza njoo nipemrejesho nikokwakala
.eg
Andika nataka
nikamwone pdidy marekan.
Paper nyeusi weka ndan yaa mkojo wa asbh tikisa mara 7 tulizana ya nne siku kamwage
 
mkojo pia unaondoa uchawi uganga kama wamekurushia
Oga usijifute
Jimwagie emkojo wako mwili mzima
Subiri ukauke usijifutr kabiska baada yaa lisaa limoja kajimwagie maji



Kama u ataka mashangazi jimwagie sema mm xxx nataka mashangazi wakiona aantongoze wanipe hela waniheshimu nk

Siku tatu uje nipa mrejesho
 
Jino likiwa linakusumbua chukua mizizi ya mpapai au mpera chemsha na maji kisha weka mdomoni kama dakika 3 usimeze mwisho unatema linatulia kama mwaka hivi.
 
Zipo ila ninayoijua mimi sita mshauri mtu, nilimegombana na mama mmoja mwaka wa 8 huu baada ya kutafutia dawa ampe mkewe, hiyo ni kiboko.
...Umegombana na Mama mmoja Miaka nane Sasa, ila amlimtibu Mkeo tatizo la Pombe ?? Au Mimi sijaelewa ??
 
Hapana mkuu sema nitaka nimpe nmba ya mwenye dawa yupo pale mwanza ni mbibi tu wa makamo mi kasaidia ndgu zang weng sna akiwemo babang mzazi
...Sema Inaelekea Jamaa Hata angesema Yuko Mbeya na wewe Ghafla Mbibi wako Angekuwa Mbeya ! [emoji846]..
Aliyeanzisha Uzi amesema wazi kuwa Watu watoe Ushahidi wa Dawa ambazo wamezitumia wenyewe na Wana Uhakika nazo !
Kama Hata Wewe hujui baba Yako alitumia Nini Mpaka akapona au Mpaka awasiliane na Mbibi ambaye ana simu ya Mawasiliano, naona Huyu tumuache kwanza ...!
 
Jamani naombeni msaada wa dawa wa jino linauma balaa aseeeee jana hadi kula nimeshindwa
Tafuta Star Anise waswahili wanaitwa 'Star anisi' na karafuu chemsha maji yake unasukutua mara kadhaa kwa siku au ukisikia maumivu.
Wapo ilio wasaidia maumivu yakapotea kabisa mpaka jino limebomoka vipande lenyewe.
 
Muhimu: Uzi huu hauhusishi matatizo ya nguvu za kiume, tayari kuna uzi wake maalum jukwaa la mapenzi

Huu ni uzi spesho wa mirejesho yetu tuliowahi kutumia tiba asili na zikatusaidia, yaani sisi ndio tuwe mashuhuda sio kukopi ma kupesti humu.

1. Nilikuwa nakula samaki ghafla kimfupa kikanikomea kwenye koo, nilijaribu kukohoa kwa nguvu lakini wapi, kuna rafiki yangu alikuwa mtu wa kanda ya ziwa akanipikia ugali mgumu, niliambiwa nipige tonge zile kubwa bila mboga yoyote, Tonge la kwanza tu mfupa ukateremka nikabaki nashangaa na nilimshukuru sana, nilikuwa nimepanga niende hospitali ila rafiki alinisaidia.

2. Funza kwenye kidole anaesababisha kidole kivimbe na maumivu makali, maumivu yalikuwa makali sana, nilienda hospitalini wakaniambia kucha itolewe, niliwaambia hakuna tatizo ntakuja, ulifikiri nilienda !! nikiwa natafta njia mbadala nikaambiwa na dada flan kaishi bush utotoni kwamba dawa ni kuvaa ndulele / turatura / ndura / nyanya pori, yaani unaichuma unaikata juu na chini iwe kama pete alafu unaivaa iishie ile sehemu yenye mdudu, ule utomvu ni sumu kwa mdudu yule, yaani ukiivaaa atahangaika sana mpaka afe ila nawe mda huo chamoto utakiona, akifa maumivu yanaisha na kidole kinakuwa na usaha, unakitoboa huhisi maumivu yoyote yale, unakamua usaha wote.

3. Kwikwi - hii dawa yake ni kunywa maji, ama upate uwoga mfano utishiwe umeiba kitu, kuna nyingine ni sugu sijajua wanatibu vipi.

wakileta ushuhuda wale wa U. I. T sugu

wakileta ushuhuda wale wa U. I. T sugu nibeep.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kunywa bia creti 2 mchanganyiko maji kubwa 4
 
Kuna majani au matunda mengine humu hatuyajui
Naombeni muwe mnaambatanisha na picha tafadhali ili wote tuyajue
 
jamani nalud kwa mara ya pili tena baada mara ya kwanza kupata msaada , nimepata shida ya nyonga mwenye kujua dawa yke naomba anisaidie niliipata uwanjani nikiwa mazoez
 
Back
Top Bottom