Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya sukari ni bei gani mkuuDawa ya ugonjwa wa INI (HOMA YA INI) pamoja na kisukari tiba ya asili ninayo malipo ni baada ya kupona.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Wataalamu wanasema mtu aliyekuwa addicted na pombe halafu akiponyeshwa na dawa ya kienyeji huwa Kuna uwezekano wa kurudia mbeleni na akitokea hivyo anakuwa hatari Sana hata kuhatarisha Maisha yakeHapana ipo, ila umwekee kipindi hafahamu nenda kwenye banda la kuku kama unafagia chukua baadhi ya kinyesi cha kuku kilichokauka vizuri kisage kiwe unga kirainike hasa kisha muwekee kwenye bia anayokunywa ila hakikisha hajui baada ya hapo atatapika sana na kuichukia harufu yyte ya pombe
awe busy na mambo yakeNahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Mtindi mkuu
Jamani naombeni msaada wa dawa wa jino linauma balaa aseeeee jana hadi kula nimeshindwa[/QU
Nope
Hii haina dawa hata tiba asilia haiwezikani hapaNahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Matumizi yake?Mtindi mkuu
Mkuu una dawa ya sukari?Dawa ya ugonjwa wa INI (HOMA YA INI) pamoja na kisukari tiba ya asili ninayo malipo ni baada ya kupona.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Acha kunywa maziwa ya aina yoyote.Mm na mafua karibu kila siku...msaada please
Mdalasini na majani ya raspberry.Mimi naombeni nisaidieni mtu anayejua dawa ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke sijui ndo kuongeza nguvu za kike
Dawa hii alinieleza mentor wangu japo sijawahi itumia Kwa mtu.Nahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Mwamba ...Homa ya ini nakupataje??Dawa ya ugonjwa wa INI (HOMA YA INI) pamoja na kisukari tiba ya asili ninayo malipo ni baada ya kupona.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Katafute kitu inaitwa "AJWAIN" kwenye maduka ya viungo vya chakula au dawa za asili.Nahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni