Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Dawa ya kupunguza uzito kwa mwenye kujua
 
Hapana ipo, ila umwekee kipindi hafahamu nenda kwenye banda la kuku kama unafagia chukua baadhi ya kinyesi cha kuku kilichokauka vizuri kisage kiwe unga kirainike hasa kisha muwekee kwenye bia anayokunywa ila hakikisha hajui baada ya hapo atatapika sana na kuichukia harufu yyte ya pombe
Wataalamu wanasema mtu aliyekuwa addicted na pombe halafu akiponyeshwa na dawa ya kienyeji huwa Kuna uwezekano wa kurudia mbeleni na akitokea hivyo anakuwa hatari Sana hata kuhatarisha Maisha yake
 
Ndugu zangu mnisaidiye dawa ya kupata hamu ya tendo la ndowa
 
Nahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Dawa hii alinieleza mentor wangu japo sijawahi itumia Kwa mtu.
Atafutwe nguruwe aliyezaa akamuliwa maziwa yake kidogo TU kama 10ml weka ktk kichupa .
Mnywaji wa pombe achanganyiwe matone kadhaa ktk bia au pombe anayoipenda sana, ikifanyika Kwa siri ni Bora zaidi.Kisha atakunywa na hii ni dozi ya maramoja ,once and forever.
Akirudia tena kunywa pombe huyo ni mwamba.
 
Nahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Katafute kitu inaitwa "AJWAIN" kwenye maduka ya viungo vya chakula au dawa za asili.
loweka kijiko 1 cha chakula kwa glass 3 za MAJI.kwa muda WA saa 24. Kisha anywe glass 1 zile mdogo saa 12 asb na saa 12 jioni
 
Back
Top Bottom