Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Jaribu kumchanganyia majani ya Aluvini kwenye chai ya moto, akinywa bia hata kijiko kimoja atahisi kichefuchefu na kutapika. Akinywa pombe tena NJOO UNIUE, NIMEKAA PALE
naomba kuona picha ya hayo majani ya aluvini ili kuitambua vyema.
 
tumia Ndizi[emoji529]+ Maziwa fresh[emoji1636]+ Karanga + Vijiko 4 Vya Asali

Hakikisha unavisaga kwenye blender ili uweze kupata mchanganyiko mzuri, hapo itakuwa Tayari Sasa Kwa matumizi, tumia ndani ya week 2 kutwa mara tatu utakuja kunishukuru
Kiwango Ni kias gan mfano karanga Ni nusu au na je ndiz ngapi?
 
dawa gani ya maumivu ya miguu ya asili naweza tumia ?
Tumia huo mmea kukandia miguu yako unaupasha kwenye moto kidogo ukipata joto lile unakandia eneo huska
Screenshot_20220908-181555.jpg
 
Jaribu kumchanganyia majani ya Aluvini kwenye chai ya moto, akinywa bia hata kijiko kimoja atahisi kichefuchefu na kutapika. Akinywa pombe tena NJOO UNIUE, NIMEKAA PALE
yanapatikana wapi hayo? pia kama unaweza kuwa na japo picha yake ukaiweka hapa itakuwa bora zaidi.
 
Back
Top Bottom