Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Nahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Wapange watu wa mortuary, mnamnunulia pombe kupitia kwa swahiba wake wa karibu sana, akishalewa ile chakari hajitambui mnampeleka anaenda kulala mortuary ,pombe zikimuisha akishtuka (akizinduka) anajikuta yupo mortuary,mnamwambia ulilewa hadi ukakata moto tukajua umekunywa mno pombe hadi imekuua.

Nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote yaliyobakia hapa Duniani. Kwa mjomba wangu mbinu hii ilifanya kazi
 
Wakuuu habari za jioni,naomba kuuliza,eti mafuta ya kuku Ni dawa ya sikio?
Mwenye ufahamu juu ya Hilo tafadhali
Naweza iweka hivi inategemea na sikio linaumaje yaan hasa nini kinchopelekea kuuma. Watoto wadogo mara nyingi katokana na matokeo ya vyakula tunavyo wapa wanaweza pata maumivu ya masikio mfano ukavu wa sikio hupelekea maumivu hivyo unapo muwekea mafuta ya kuku au ya nazi dropped 1 hadi 2 ndani ya sikio hulainisha eneo hilo la sikio na maumivu huacha ndani ya dk 5 Hadi 30. Ikiwa maumivu yataendelea huwenda Kuna tatizo lengine. Hivyo jibu ni ndio kwa mlengo huu nilio huelezea mafuta ya nazi ni Bora zaidi.
 
Malaria inanisumbua nikikaa Sana mwezi tiba natumia drip za quinine na vidonge vya chloroquine mwenye kujua miti shamba
 
Mm na mafua karibu kila siku...msaada please
NUnua almint chemsha maji kikombe tia kikombe cha kahawa kipande kimoja vha almint kunywa asubui na jion 3 day utakuja kunishkuru 100%
 
Back
Top Bottom