MAHIDOGOLI
Member
- Sep 15, 2024
- 17
- 15
IpoPombe nahisi dawa yake hamna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IpoPombe nahisi dawa yake hamna
MAJANI YA mlonge pika kama mbogadawa gani ya maumivu ya miguu ya asili naweza tumia ?
Blood group yako ipi? MkuuMm na mafua karibu kila siku...msaada please
Muwa ni kwa homa ya manjano ambayo sio chronic au Hepatitis. Ieleweke hivyo.Naomba kujuzwa dawa ya asili ya ugonjwa wa manjano
Kunywa tangawiziWakuu naomba mwenye kufaham dawa ya vichomi anisaidie hali tete
Wapange watu wa mortuary, mnamnunulia pombe kupitia kwa swahiba wake wa karibu sana, akishalewa ile chakari hajitambui mnampeleka anaenda kulala mortuary ,pombe zikimuisha akishtuka (akizinduka) anajikuta yupo mortuary,mnamwambia ulilewa hadi ukakata moto tukajua umekunywa mno pombe hadi imekuua.Nahitaji mtu anisadie ndugu yangu aiache pombe Jamani nisaidieni
Homoni Zina shida gani?Tiba ya Matatizo ya homoni msaada
Naweza iweka hivi inategemea na sikio linaumaje yaan hasa nini kinchopelekea kuuma. Watoto wadogo mara nyingi katokana na matokeo ya vyakula tunavyo wapa wanaweza pata maumivu ya masikio mfano ukavu wa sikio hupelekea maumivu hivyo unapo muwekea mafuta ya kuku au ya nazi dropped 1 hadi 2 ndani ya sikio hulainisha eneo hilo la sikio na maumivu huacha ndani ya dk 5 Hadi 30. Ikiwa maumivu yataendelea huwenda Kuna tatizo lengine. Hivyo jibu ni ndio kwa mlengo huu nilio huelezea mafuta ya nazi ni Bora zaidi.Wakuuu habari za jioni,naomba kuuliza,eti mafuta ya kuku Ni dawa ya sikio?
Mwenye ufahamu juu ya Hilo tafadhali
Nicehuu mmea unaitwa patakuva.... kiboko ya maumivu ya jino/meno. Tafunia kwenye jino linalouma au tafuna halaf sukutua kwenye jino linalouma. Likiendelea kuuma within 30 mimutes njoo uniue.View attachment 2360198
Mkuu kuna message nimekutumia PmDawa ya ugonjwa wa INI (HOMA YA INI) pamoja na kisukari tiba ya asili ninayo malipo ni baada ya kupona.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Kuacha pombe ni maamuzi tu . Ukiamua unaacha na maisha yanaendelea kama kawaUko mkoa gn ndgu naweza kukusaidia
Hii na mimi naifahamu!!
NUnua almint chemsha maji kikombe tia kikombe cha kahawa kipande kimoja vha almint kunywa asubui na jion 3 day utakuja kunishkuru 100%Mm na mafua karibu kila siku...msaada please