permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Ndio zipi hizi?Typhoid.....,..kwa kutumia songwa pori zile zinazotambaa chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio zipi hizi?Typhoid.....,..kwa kutumia songwa pori zile zinazotambaa chini
naomba kuona picha ya hayo majani ya aluvini ili kuitambua vyema.Jaribu kumchanganyia majani ya Aluvini kwenye chai ya moto, akinywa bia hata kijiko kimoja atahisi kichefuchefu na kutapika. Akinywa pombe tena NJOO UNIUE, NIMEKAA PALE
Unafanyaje hii nielekeze
Kiwango Ni kias gan mfano karanga Ni nusu au na je ndiz ngapi?tumia Ndizi[emoji529]+ Maziwa fresh[emoji1636]+ Karanga + Vijiko 4 Vya Asali
Hakikisha unavisaga kwenye blender ili uweze kupata mchanganyiko mzuri, hapo itakuwa Tayari Sasa Kwa matumizi, tumia ndani ya week 2 kutwa mara tatu utakuja kunishukuru
Tumia huo mmea kukandia miguu yako unaupasha kwenye moto kidogo ukipata joto lile unakandia eneo huskadawa gani ya maumivu ya miguu ya asili naweza tumia ?
hiyo kitu ataharisha hadi utumbo[emoji23]Jaribu mafuta ya mbarika. Utafurahi [emoji12]
Naomba kuona hayo majani ya AluviniJaribu kumchanganyia majani ya Aluvini kwenye chai ya moto, akinywa bia hata kijiko kimoja atahisi kichefuchefu na kutapika. Akinywa pombe tena NJOO UNIUE, NIMEKAA PALE
Jitahidi kutopungukiwa hela mfukoni dawa tosha.Mimi naombeni nisaidieni mtu anayejua dawa ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke sijui ndo kuongeza nguvu za kike
Mkuu pmDawa ya ugonjwa wa INI (HOMA YA INI) pamoja na kisukari tiba ya asili ninayo malipo ni baada ya kupona.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Weka No.Dawa ya ugonjwa wa INI (HOMA YA INI) pamoja na kisukari tiba ya asili ninayo malipo ni baada ya kupona.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
@mods tunaenda kuangukia pua huku, tusaidieni! Maweeeeeeee[emoji15][emoji15]Dawa ya ugonjwa wa INI (HOMA YA INI) pamoja na kisukari tiba ya asili ninayo malipo ni baada ya kupona.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Nguvu unayo?Mimi nasumbuliwa na tatizo la kusinyaa kwa uume, ni zaidi yaa miaka 12.Hali hii inafanya uume kuwa mdogo sana nakosa raha. Naomba mwenye kujua dawa please.
yanapatikana wapi hayo? pia kama unaweza kuwa na japo picha yake ukaiweka hapa itakuwa bora zaidi.Jaribu kumchanganyia majani ya Aluvini kwenye chai ya moto, akinywa bia hata kijiko kimoja atahisi kichefuchefu na kutapika. Akinywa pombe tena NJOO UNIUE, NIMEKAA PALE