Weka mbali na wanawake. Ni mfano tu

ili nisimsaliti mke wangu hapo itabidi niombe usajili wa Mkopo au Nijiunge CHAPUTA Kwa mkataba maalum
 
Unataka kusema chadema haina hela ya kujenga ofisi uzuri!??

Hayo mabilioni anayotorosha Mbowe kwenda nje ya nchi yanatoka wapi.


Yani chadema ya miaka 24 ofisi yake iwe na hadhi sawa na ACT ambayo ina mwaka 1 tu!?


Hela ya ruku inaenda wapi?!?
 
Wachaweee! wazee wa maubuyu ya town, geniveros kapotea mnooo sijui kafichwa na nani jamani, sijamtia machoni kitambo.
Hahaha yani kipindi kile nilikuwa nacheka peke angu hadi nikataka kuwa kama taahira. Kuna watu walikuwa wanatoa majibu mule + visa vyao vya mapenzi me ni kucheka tu. Uje huku uwakute dina na warumi. Vichambo vinawakolea hadi mtu anajiquote kujichamba yeye mwenyewe hahhahahah
geniveros sijui yuko wapi mwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…