Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Kumtoa mtu kituoni inategemea na kosa.
Kuna dogo mmoja (Mfanyakazi wangu) alizingua huko mtaani nikaletewa kesi.
Mie nikashauri wafate utaratibu wa sheria au tuyamalize.. wale walalamikaji wakaforce kwenda polisi.
Basi dogo nikamwambia atulie hawawezi kwenda polisi wale.. khee kumbe kweli walienda kushtak na wakaja na RB.
nipo zangu ndani, naskia fujo nje Dogo wamempiga pingu wanaondoka nae wale jamaa walioshtaki polisi wana ndugu yao ni polisi ktk hicho kituo so wana backup ndio maana walikuwa wanataja taja sana neno polisi kutishia.. , basi nikawauliza jamaa ni akina nani tutambuane? Na wanampeleka wapi? Kwa kosa gani? Na je nguvu iliyotumika ni sahihi? Aligoma? Kwanini kumfunga pingu na kumdhalilisha?.. walimfungua ila kwa mbinde.
Haya.. mie nikawaacha waende nae then nitawafata kwa nyuma (nilikuw sijajiandaa).
Basi, Dogo kafika kule katiwa lockup, mixer kumtishia kwamba na mimi nikienda natiwa ndani pia maana ninajifanya najua sana Sheria... wakawa wananisubiri kwa HAMU sana nijipeleke.
Basi, kufika nikataja jina pekee na mtu niliyemfata.. wakasema anhaa wewe ndio tunakutaka sana pita huku.. mie nikagoma, nikawaambia kabisa, mkiniweka humo ndani siku/saa/dk au sekunde ninayotoka humo tunapishana siti, na nyie mtaingia humo humo.
Wakawa wanatoa macho tu.. kukata urefu wa story..
Dogo nilimtoa kwa KUFATA utaratibu na dhamana nikapeleka, wakati napeleka barua ya utambulisho ndio wakagundua kitu, basi Dogo nikarudi nae home.
Wakati tunarudi sasa wale jamaa waliompeleka polisi tukakutana nao walishangaa sana kutuona, wao waliamini Dogo yupo ndani, na mimi nipo ndani eti..
Hii kesi iliisha kibabe sana after 2 days...
Kuna muda tunatumia maneno haya " MENO ya MBWA hayaumani "
Kuna dogo mmoja (Mfanyakazi wangu) alizingua huko mtaani nikaletewa kesi.
Mie nikashauri wafate utaratibu wa sheria au tuyamalize.. wale walalamikaji wakaforce kwenda polisi.
Basi dogo nikamwambia atulie hawawezi kwenda polisi wale.. khee kumbe kweli walienda kushtak na wakaja na RB.
nipo zangu ndani, naskia fujo nje Dogo wamempiga pingu wanaondoka nae wale jamaa walioshtaki polisi wana ndugu yao ni polisi ktk hicho kituo so wana backup ndio maana walikuwa wanataja taja sana neno polisi kutishia.. , basi nikawauliza jamaa ni akina nani tutambuane? Na wanampeleka wapi? Kwa kosa gani? Na je nguvu iliyotumika ni sahihi? Aligoma? Kwanini kumfunga pingu na kumdhalilisha?.. walimfungua ila kwa mbinde.
Haya.. mie nikawaacha waende nae then nitawafata kwa nyuma (nilikuw sijajiandaa).
Basi, Dogo kafika kule katiwa lockup, mixer kumtishia kwamba na mimi nikienda natiwa ndani pia maana ninajifanya najua sana Sheria... wakawa wananisubiri kwa HAMU sana nijipeleke.
Basi, kufika nikataja jina pekee na mtu niliyemfata.. wakasema anhaa wewe ndio tunakutaka sana pita huku.. mie nikagoma, nikawaambia kabisa, mkiniweka humo ndani siku/saa/dk au sekunde ninayotoka humo tunapishana siti, na nyie mtaingia humo humo.
Wakawa wanatoa macho tu.. kukata urefu wa story..
Dogo nilimtoa kwa KUFATA utaratibu na dhamana nikapeleka, wakati napeleka barua ya utambulisho ndio wakagundua kitu, basi Dogo nikarudi nae home.
Wakati tunarudi sasa wale jamaa waliompeleka polisi tukakutana nao walishangaa sana kutuona, wao waliamini Dogo yupo ndani, na mimi nipo ndani eti..
Hii kesi iliisha kibabe sana after 2 days...
Kuna muda tunatumia maneno haya " MENO ya MBWA hayaumani "