Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Hawa mabaka labda muwachokoze ndio utajua hujui lkn hawana tamaa kama hawa wenzetu ..
.
wajeda hawana noma ila usiwachokoze mamwera hawafai wakiona fursa wanakuangushia jumba bovu ili wapige maokoto kuna dogo alimuibia mjeda usiku bila kujua kuwa jamaa ni mjeda likatolewa tangazo aliyeiba arudishe kimya mjeda akaanza upelelezi akamdaka dogo alitembezewa kichapo mpaka akakata moto! Na mjeda akahama mtaa maana alisema nitawamaliza wote!
 
Wasioonekana wenyewe huwa wanasahaulika! Naona ni bora kuwa na urafiki na PT kuliko wasiojulikana kwa sababu wanaweza kukuchoma muda wowote ili aonekane anafanya kazi!
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Not all saints are God worshippers...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa wametekeleza watoto na wana ubabe sana kwa wake zao SIWAPENDI
Yaani huyo mwanamke hajaamua tu.

Ukienda kazini kumshtaki, ataishi maisha magumu sana

Hawapendi ile reputation ya jeshi kusemwa negative katika jamii, mshahara ukitoka unakatwa unaanza kufika kwa mke wako.

Kwa ajili ya kuendesha familia, hao ambao wametelekezwa ni hawajajua tu Jinsi ya kwenda kumshtaki.
 
wajeda hawana noma ila usiwachokoze mamwera hawafai wakiona fursa wanakuangushia jumba bovu ili wapige maokoto kuna dogo alimuibia mjeda usiku bila kujua kuwa jamaa ni mjeda likatolewa tangazo aliyeiba arudishe kimya mjeda akaanza upelelezi akamdaka dogo alitembezewa kichapo mpaka akakata moto! Na mjeda akahama mtaa maana alisema nitawamaliza wote!
Mkuu hili nilishuhudia mwenyewe maneno ya bunju B.

Mjeda mmoja alimuadhibu dogo alikuwa mwizi, watu wamesema mpaka wamechoka mzazi anaendelea kumtetea.


Dogo alienda kujichanganya KUIBA kwa huyo mwanajeshi akaruka ukuta akaingia.

sasa kuna camera halafu dogo alienda mchana kumbe jamaa yupo ndani.

Dogo akakamatwa alikuja kupigwa mtaani kabisa watu wanaona na akawa anasema atakayesogea namuunganisha dogo kapigwa mpaka anakata moto akachukua simu akapiga polisi kuna maiti ya mwizi sehemu Fulani akaondoka.
 
Haya ni mawazo ya watu maskini. Ukiwa na mawazo ya kimaskini daima utajibebisha kwa wanaume wenzako.

Tafuta hela, ukiwa nazo hutakuwa na haja ya kujibebisha Kwa mtu yeyote Lisa sijui ye ni nani.
Jadili hoja.

Karibu sana
 
Na, kinyume chake ni balaa, hapo wamekusaidia, lakini wanavunja uta wala wa sheria, mwenye jukumu la law enforcement ni polisi, sio wanajeshi, hawa hujiona wapo juu ya sheria, sheria za balabalani, wanavunja wanavyo taka bila dharula yoyote, hujiona wao ndio wenye "monopoly of violence"
Kuna mmoja daladala ya kutoka mwenge analazimisha imshushe karibu na lango LA lugalo,
Dereva akagoma, jamaa mikwara miiiiingi, cheo chenyewe V mbili tu, afya mgogoro!
Soma kisa vzuri

Nafikiri ujaelewa
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Uchawa kila nyanja. Katiba mpya muhimu ili kila Mtz athaniminiwe kwa uanadamu wake, sio kujipendekeza!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Ukiendelea hivi kushobokea WANAJESHI WATAKUOA BILA MAHARI
 
Back
Top Bottom