Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Hakuna mtu wa kumtoa Mtu mwingine kinguvu awapo kituo cha Polisi, hii yako ni Chai kama chai zingine
We sema hujawai kutana na hizi issue.

Kuna mjeshi wa 841kj alimpiga makofi mkuu wa kituo wa eneo hilo alafu we unasema nini
 
Mkuu dogo ana nyota sana ya kupendwa na wanajeshi.

Na mpaka demu aliyemzalisha alikuwa ndo anaanza ajira ni mwanajeshi ila dogo amekulia kwenye garage maisha yake.

Ishu ilikuwa ni mwanamke si kwamba dogo alikuwa na fujo au laaah ni kama vile askari ajue unaishi na demu wake akutafutie sababu akupige akuumize akusweke ndani.

Huyo demu alikuwa ni demu wa club sana na mwanachuo hivyo akawa yupo na dogo na mshkaji aliyenipa taarifa usiku huo.baada ya kuingia ndio akaona poti akaanza kumtafutia visa, dogo kapigwa akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani.


Mkuu kuna mikoa haya mambo ya kwenda kutoana vituoni kwa ubabe yapo na yanafanywa na askari wa chini.

Jamaa aliyeenda kumtoa baba yake ni mkuu wa kambi ya jeshi mojawapo katika huo mkoa.

Hata kuona kambi Fulani na kambi Fulani wana ugomvi bado kuna mikoa haya mambo yapo.
Kwenye mada,kuna kasomo kazuri. Ila,unataka kuharibu.
-Labda nisiingie kiundani zaidi,mambo yao hayanihusu, ila hawa jama hawanaga mafundi kwenye kambi zao? Kiasi cha kumzowesha raia kwenda kutengeneza magari! Navyojua mimi kama ni gari la jeshi, likiharibika njiani,bila kujali umbali,breakdown ya jeshi italifata,kama waliokuwemo hawana element ya ufundi au wao wasipoamua kumtumia fundi karibu,na pale wanapoona shida si kubwa.
-Si kwamba wanawake wanajeshi hawaolewi na raia. Kugegedwa sawa,inawezekana sana tu. Kwa hiyo,dogo kamzalisha tu huyo demu mjeda na akamuacha? Au walioana af akawa anafanya ujinga wake!
Wape staha yao, ila sidhani kama kuna mwanajeshi mwanamke anaweza kuzalishwa hivi hivi na akaachwa aendelee na kazi. Kama nfo hivo inawezekana,nidhamu kwao ni nini? Maana hata hilo ni moja wapo wa mambo ambayo ni mwiko kwa mwanajeshi mwanamke kutokujiheshimu.
Japo na kwa mapolisi sijui,ila haitakiwi.
Uongo punguza. Mpaka mtu anakuwa mkuu wa kambi, cheo chake si cha kuchukulia poa ujue? Hivyo, huyu mtu hata kama amestaafu yupo uraiani, bado anaongozwa kijeshi, huijiwa na Military Polisi(MP), polisi itamlipoti tu jeshini, watakuja wachukue mtu wao,lakini kuwekwa ndani kituo cha polisi!? Halipo na halitatokea.

Hiyo mikoa unayosema kambi furani na kambi furani wana ugomvi, kama Somalia sawa. Kwenyebkambi za mahalamia nakubali.
Ila jeshi la nchi,eti kambi zina ugomvi? Wa nini labda?
Weeee, kambi za jeshi si Simba na Yanga ndugu yangu.
 
Kwenye mada,kuna kasomo kazuri. Ila,unataka kuharibu.
-Labda nisiingie kiundani zaidi,mambo yao hayanihusu, ila hawa jama hawanaga mafundi kwenye kambi zao? Kiasi cha kumzowesha raia kwenda kutengeneza magari! Navyojua mimi kama ni gari la jeshi, likiharibika njiani,bila kujali umbali,breakdown ya jeshi italifata,kama waliokuwemo hawana element ya ufundi au wao wasipoamua kumtumia fundi karibu,na pale wanapoona shida si kubwa.
-Si kwamba wanawake wanajeshi hawaolewi na raia. Kugegedwa sawa,inawezekana sana tu. Kwa hiyo,dogo kamzalisha tu huyo demu mjeda na akamuacha? Au walioana af akawa anafanya ujinga wake!
Wape staha yao, ila sidhani kama kuna mwanajeshi mwanamke anaweza kuzalishwa hivi hivi na akaachwa aendelee na kazi. Kama nfo hivo inawezekana,nidhamu kwao ni nini? Maana hata hilo ni moja wapo wa mambo ambayo ni mwiko kwa mwanajeshi mwanamke kutokujiheshimu.
Japo na kwa mapolisi sijui,ila haitakiwi.
Uongo punguza. Mpaka mtu anakuwa mkuu wa kambi, cheo chake si cha kuchukulia poa ujue? Hivyo, huyu mtu hata kama amestaafu yupo uraiani, bado anaongozwa kijeshi, huijiwa na Military Polisi(MP), polisi itamlipoti tu jeshini, watakuja wachukue mtu wao,lakini kuwekwa ndani kituo cha polisi!? Halipo na halitatokea.

Hiyo mikoa unayosema kambi furani na kambi furani wana ugomvi, kama Somalia sawa. Kwenyebkambi za mahalamia nakubali.
Ila jeshi la nchi,eti kambi zina ugomvi? Wa nini labda?
Weeee, kambi za jeshi si Simba na Yanga ndugu yangu.
Anhaa mkuu hayo si magari ya jeshi magari binafsi yao anaingia kota wanapoishi.

Dogo anaenda kuchukua gari anatengeneza na marekebisho mengine.
 
Huna akili.

Kwanza itoshe kusema hujasoma nilichoandika

Kaa kwa kutulia mdogo wangu, acha papara.
Haha yani we ndo unaniita mimi sina akili? Wewe unaesema wanajeshi wameenda kituo cha polisi na kuleta varangati mtuhumiwa akaachiwa? Unafikiri hao wanajeshi hawapendi ajira zao siyo?
Wao wenyewe wakifanya jinai wanakamatwa na kuwekwa lockup za polisi wakati utaratibu wa kuwarudisha kwenye kambi zao ukiwa unaendelea.

Kwa kifupi siyo kila askari unaemkuta Pale kituo cha polisi anaweza kumuachia mtuhumiwa kazi yake ni kumlinda mtuhumiwa awe salama asitoroke wala asitoroshwe , hakuna mtu anaeweza kuleta ubabe na mtu akatoka kwenye lockup ya polisi mzee, hata huyo polisi mwenyewe awe rafiki yako hawezi kukuachia bila utaratibu sasa ndo aje aamrishwe na mtu mwingine?

Mtu yeyote anaejua utaratibu wa kisheria huwezi kumdanganya hivi na akakuamini utaendelea kudanganya mtu ambae hajui chochote kuhusu utaratibu wa kisheria
 
Haha yani we ndo unaniita mimi sina akili? Wewe unaesema wanajeshi wameenda kituo cha polisi na kuleta varangati mtuhumiwa akaachiwa? Unafikiri hao wanajeshi hawapendi ajira zao siyo?
Wao wenyewe wakifanya jinai wanakamatwa na kuwekwa lockup za polisi wakati utaratibu wa kuwarudisha kwenye kambi zao ukiwa unaendelea.
Kwa kifupi siyo kila askari unaemkuta Pale kituo cha polisi anaweza kumuachia mtuhumiwa kazi yake ni kumlinda mtuhumiwa awe salama asitoroke wala asitoroshwe , hakuna mtu anaeweza kuleta ubabe na mtu akatoka kwenye lockup ya polisi mzee

Mtu yeyote anaejua utaratibu wa kisheria huwezi kumdanganya hivi na akakuamini utaendelea kudanganya mtu ambae hajui chochote kuhusu utaratibu
Wapi nimesema varangati naomba unionyeshe sehemu nimesema walileta varangati?

Nilisema walisema mdogo wetu lazima atoke lasivyo hapatoshi hapa.

Walienda kumtoa dogo lock up.

Onyesha walipo leta fujo


Soma kwa kutulia mdogo wangu
 
Hapo tayari walivunja kanuni na sheria kwa kumtoa mtuhumiwa kwenye jela bila kuzingatia miongozo ya kisheria, wanapaswa wawajibishwe, msipende kuishi Kitaleban Taleban.
Kama dogo alionewa, kuna mbinu mahsusi za kisheria zilipaswa kufuatwa.
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Ni kweli kabisa. Wako well drilled and trained. Poa sana.
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Hizo ndio operation zao kubwa wakat wenzao Wana operation iron sword, operation Al aqsa floods.
 
Wapi nimesema varangati naomba unionyeshe sehemu nimesema walileta varangati?

Nilisema walisema mdogo wetu lazima atoke lasivyo hapatoshi hapa.

Walienda kumtoa dogo lock up.

Onyesha walipo leta fujo


Soma kwa kutulia mdogo wangu
Hayo maneno ya mdogo wetu lazima atoke hiyo ndo varangati yenyewe.

Yule polisi unaemkuta Pale kituoni hata awe rafiki yako au baba yako mzazi yeye mwenyewe akishakukuta umeingizwa lockup na taarifa zako zimejazwa kwenye vitabu hana mamlaka yoyote ya kukuachia achilia mbali kuwa yeye ni rafiki yako yaani hata awe baba yako

Sasa hapo ndo aende mtu mwingine kuamrisha kuwa mtuhumiwa aachiwe itawezekana kweli? Mbona utaratibu uko wazi mzee, njia pekee ya mtu kuweza kuachiwa hapo ni kufata utaratibu tu hakuna njia yoyote ya kibabe inayoweza kutumika

Njia yoyote kinyume na utaratibu ikitumika na ukafanikiwa kumtoa mtuhumiwa kituo cha polisi bila utaratibu na ukabaki hai basi nyuma yako utafunguliwa kesi ya kumtorosha mtuhumiwa na utafanyiwa msako siyo wa kitoto
 
Hayo maneno ya mdogo wetu lazima atoke hiyo ndo varangati yenyewe.

Yule polisi unaemkuta Pale kituoni hata awe rafiki yako au baba yako mzazi yeye mwenyewe akishakukuta umeingizwa lockup na taarifa zako zimejazwa kwenye vitabu hana mamlaka yoyote ya kukuachia achilia mbali kuwa yeye ni rafiki yako yaani hata awe baba yako

Sasa hapo ndo aende mtu mwingine kuamrisha kuwa mtuhumiwa aachiwe itawezekana kweli? Mbona utaratibu uko wazi mzee njia pekee ya mtu kuweza kuachiwa hapo ni kufata utaratibu tu hakuna njia yoyote inayoweza kutumika

Njia yoyote kinyume na utaratibu ikitumika na ukafanikiwa kumtoa mtuhumiwa kituo cha polisi bila utaratibu na ukabaki hai basi nyuma yako utafunguliwa kesi ya kumtorosha mtuhumiwa na utafanyiwa msako siyo wa kitoto
Rudi soma nilichoandika mdog wangu .

Una tatizo kwani?

Soma tena kisa kilivyokuwa

Acha papara
 
Hizo ndio operation zao kubwa wakat wenzao Wana operation iron sword, operation Al aqsa floods.
Wewe unataka jw wafanye operation sword na nani?

Au al aqsa floods wafanye na nani?

Mkuu mbona hueleweki unaloongea?

😂😂
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Sawa.
 
Na, kinyume chake ni balaa, hapo wamekusaidia, lakini wanavunja uta wala wa sheria, mwenye jukumu la law enforcement ni polisi, sio wanajeshi, hawa hujiona wapo juu ya sheria, sheria za balabalani, wanavunja wanavyo taka bila dharula yoyote, hujiona wao ndio wenye "monopoly of violence"
Kuna mmoja daladala ya kutoka mwenge analazimisha imshushe karibu na lango LA lugalo,
Dereva akagoma, jamaa mikwara miiiiingi, cheo chenyewe V mbili tu, afya mgogoro!
Hao unaowaona afya mgogoro ni hatari sana
Kaa nao mbali
 
Rudi soma nilichoandika mdog wangu .

Una tatizo kwani?

Soma tena kisa kilivyokuwa

Acha papara
Kisa chako ni cha kufikirika hakina ukweli hakiwezi kufanikiwa kwa njia hiyo, labda kama umeongeza chumvi na hiyo chumvi ndo imeharibu hii stori

Inawezekana jamaa walienda kiungwana na wakafata utaratibu na dogo akaachiwa ila wewe umekuja kuiwasilisha kwa njia ya kuwa walienda kibabe.

Ubabe pale haufanyi kazi mzee
 
Back
Top Bottom