Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
wajeda hawana noma ila usiwachokoze mamwera hawafai wakiona fursa wanakuangushia jumba bovu ili wapige maokoto kuna dogo alimuibia mjeda usiku bila kujua kuwa jamaa ni mjeda likatolewa tangazo aliyeiba arudishe kimya mjeda akaanza upelelezi akamdaka dogo alitembezewa kichapo mpaka akakata moto! Na mjeda akahama mtaa maana alisema nitawamaliza wote!Hawa mabaka labda muwachokoze ndio utajua hujui lkn hawana tamaa kama hawa wenzetu ..
.
🫱🏾🫲🏿Huu pia ni mwendelezo wa uchawa , hii nchi inaendeshwa kichawa chawa.
Shobo za kijinga sanaAcheni shobo za kifamba kwa wanaume wenzenu.
Not all saints are God worshippers...!Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?
KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.
Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.
Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.
Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.
Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,
Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.
Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.
Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.
Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.
Share kisa chako na bakabaka.
Yaani huyo mwanamke hajaamua tu.Asilimia kubwa wametekeleza watoto na wana ubabe sana kwa wake zao SIWAPENDI
Mkuu hili nilishuhudia mwenyewe maneno ya bunju B.wajeda hawana noma ila usiwachokoze mamwera hawafai wakiona fursa wanakuangushia jumba bovu ili wapige maokoto kuna dogo alimuibia mjeda usiku bila kujua kuwa jamaa ni mjeda likatolewa tangazo aliyeiba arudishe kimya mjeda akaanza upelelezi akamdaka dogo alitembezewa kichapo mpaka akakata moto! Na mjeda akahama mtaa maana alisema nitawamaliza wote!
Soma kisa vzuriNa, kinyume chake ni balaa, hapo wamekusaidia, lakini wanavunja uta wala wa sheria, mwenye jukumu la law enforcement ni polisi, sio wanajeshi, hawa hujiona wapo juu ya sheria, sheria za balabalani, wanavunja wanavyo taka bila dharula yoyote, hujiona wao ndio wenye "monopoly of violence"
Kuna mmoja daladala ya kutoka mwenge analazimisha imshushe karibu na lango LA lugalo,
Dereva akagoma, jamaa mikwara miiiiingi, cheo chenyewe V mbili tu, afya mgogoro!
Uchawa kila nyanja. Katiba mpya muhimu ili kila Mtz athaniminiwe kwa uanadamu wake, sio kujipendekeza!Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?
KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.
Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.
Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.
Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.
Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,
Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.
Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.
Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.
Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.
Share kisa chako na bakabaka.
Kasome tena.Uchawa kila nyanja. Katiba mpya muhimu ili kila Mtz athaniminiwe kwa uanadamu wake, sio kujipendekeza!
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Ukiendelea hivi kushobokea WANAJESHI WATAKUOA BILA MAHARINawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?
KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.
Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.
Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.
Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.
Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,
Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.
Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.
Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.
Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.
Share kisa chako na bakabaka.