Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wa jina mbona povu?Utakufa na kijiba cha roho mbinafsi mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa jina mbona povu?Utakufa na kijiba cha roho mbinafsi mkubwa
Mama anajieleza ama anafafanua jambo!!?
Mbona kama kabati limevunjika vioo
kwake huyo ccm ni bora kuliko kitu chochote.Tanzania kwanza. Mengine baadae. Tusipofikiria ukubwa wa Tanzania yetu, kwa kuweka mbele ukabila, udini na hata makundi yenye milengo ya kujibinafsisha yenyewe kwanza, tutapoteza tunu za nchi yetu. Nchi yetu lazima tuipenfa na kuitendea haki sisi wenyewe.
KatanguliaNjia ni hiyo hiyo kwa wote
UnafutaKatangulia
Kauli hii ilinifikirisha Sana,hasa ukizingatia aliye itoa!!!!!Haya kaa kakae na mavi yako nyumbani-Magu.
Huyu mzee mnafiki sana, yeye siku zote kulalamikia mambo ya MbeyaWa jina mbona povu?
1.5 trilioni ya MAGU Ni kufuruSio walidiriki kusema ni dhaifu serikali yake twiga walisafirishwa , madini tuliibiwa kwa kiwango Cha juu viongozi walijikimbikizia mali kupita vipindi vyote.
Wanafiki wenzako tusha wafukia , shida yako nini?Huyu mzee mnafiki sana, yeye siku zote kulalamikia mambo ya Mbeya
Eeh Ila yeye kaanzaUnafuta
King'ang'anizi ww...Eeh Ila yeye kaanza
Political guru
Ndio mbele kwa mbele.Riziwani kikwete mbele kwa mbele,salma kikwete mbele kwa mbele, bernard membe mbele kwa mbele,
Unawajua ma political guru weye!!??Political guru
Mtatoa milio ya kila aina, bundi sio bundi, mbwa koko sio mbwa koko, nguchiro sio nguchiro na nguruwe sio nguruwe.Ngoma droo!!
Tupo tunaoamini mpaka Leo, kikwete hawezi kabisa kuifanya nchi ikaheshimika hata kidogo, afanyeafanyavyo,amebarikiwa tu kuwa na moyo wa kupuuza mambo, lakini kuiongozi ni zero kabisa
Siwezi kusahau kipindi chake, ilikuwa ni hovyo tu, hakuna la maana, la maana ni Kwa hao waliofaidika na safari zake
Huyo Kikwete si yeye aliyejitapa kawaletea chuma, mzigo mzito mpe Mnyamwezi?Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.
Amepitia mengi, mazuri na mabaya.
Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.
Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.
Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.
Mimi kadi yangu ni ya 1977.
Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Nimekuachia wewe uwajue. Sisi tumerudisha chama chetu mikononi mwetu.Unawajua ma political guru weye!!??
Bado mapema ngoma bado sanaNimekuachia wewe uwajue. Sisi tumerudisha chama chetu mikononi mwetu.
Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.Mwanzisha thread ni mbinafsi. Haya mambo ya ma-vyama yanaiangamiza Tanzania. Tunatakiwa tubadili mfumo kabisa na wanasiasa wapungue sana kwenye uongozi. Pia siasa ipunguwe. Utaalam na taalaum ndiyo ziwe- incharge. Itakuwa vizuri zaidi kama serikali itaundwa kulingana na idadi ya kura walizopata