Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.
Amepitia mengi, mazuri na mabaya.
Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.
Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.
Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.
Mimi kadi yangu ni ya 1977.
Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Nenda kapumzike kwenu Kyela ukale mbasa, umeanza mapambio ya Vasco Dagama unafikiri atakurudisha kwenye ulaji? Ulile kako!