Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awamu hii,ndio tunakoelekea wala hatupajui.Kikwete ni kweli uongozi wake ulikuwa umelegea kidogo lakini alikuwa afdhali kuliko Magufuli. Nadhani Samia atarekebisha ya Kikwete na ya Magufuli na kuwa rais bora zaidi kuliko wote wawili.
....The same sun that dries the mud, melts the ice..... by Asprin (member of Jamii Forum)We are done!!!
Riziwani kikwete mbele kwa mbele,salma kikwete mbele kwa mbele, bernard membe mbele kwa mbele,Kikwete mbele kwa mbele
Isijekuwa ccm inarudi kule ilikokuwa shida kukatiza mtaani ukiwa umevaa jezi ya ccm.Awamu hii,ndio tunakoelekea wala hatupajui.
Mwanzisha thread ni mbinafsi. Haya mambo ya ma-vyama yanaiangamiza Tanzania. Tunatakiwa tubadili mfumo kabisa na wanasiasa wapungue sana kwenye uongozi. Pia siasa ipunguwe. Utaalam na taalaum ndiyo ziwe- incharge. Itakuwa vizuri zaidi kama serikali itaundwa kulingana na idadi ya kura walizopata vyama.Isijekuwa ccm inarudi kule ilikokuwa shida kukatiza mtaani ukiwa umevaa jezi ya ccm.
amefanyaje sasa hiviKikwete huyu mtu bhana , daah Mungu ampe maisha marefu Sana Sana ... Nilimchukia Sana by 2015 Ila Kwa sasa nimeona thamani yake kabisa kabisa.. sometimes huwa tunajifunza Kwa Gharama kubwa Sana
Kakalia nusu kochi "lugha laini" maana "lugha kavu" au ya moja kwa moja ni "kakalia kalio moja"Mzee wa pamba huyo hapo yeye ndio alikua rahisi bosi kaweka nne mama kakalia nusu kochi akijiekeza kwa Rais Kikwete enzi hizo sio picha ya sasa...
Safi kabisa mkuu.CHAMA HAKIDANDIWI KAMA DALADALA WASIOKIFAHAMU WALIKIDANDIA WAKAWAONA WALEZI WA CHAMA HIKI NA WAZEE HAWAFAI KABISA ( NADHANI ELIMU TUMEIPATA ) SISI TULIOCHEZA CHIPUKIZI TUKATUPWA JALALANI KABISA. ITS WAS SO HARD HARD HARD EVER...!
Chama kilitekwa haswa, na wenye chama hata muelekeo na itikadi tulikuwa hatujui kinaelekea wapi.Bahati yenu, chama chenu kilikuwa kimetekwa!! Kilikuwa kinakwenda what we call "mwendo wa mateka...." leo hii mnaanza kufungua midomo na kusema madukuduku yenu - kweli ni jambo la kushukuru mno!
Ila na nyie mjirekebishe, upeni mkutano Mkuu wenu meno ya KUCHAGUA Mwenyekiti wenu na si KUMPITISHA.
Mama anajieleza ama anafafanua jambo!!?
Labda watusaidie hawa johnthebaptist mama D YEHODAYA Babati Countrywide IdugundeKwahiyo sasa wale waliojiuza kwa bei rahisi na ahadi zao za vyeo hazikutimia inakuwaje ?