ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ww utafaidika na kipi zaidi kuendelea kupauka kama chakiTunashukuru Mungu mwendazake kendazake.... hallelujah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww utafaidika na kipi zaidi kuendelea kupauka kama chakiTunashukuru Mungu mwendazake kendazake.... hallelujah
Kikwete arudi kabisa madarakani au unaonaje bavichaMiaka saba ya nyongeza
Sasa hapo kwenye kutoendekeza, mbona tunaaminishwa na "wenye CCM yao" kwamba mama Samia Suluhu Hassan anaendeleza ya JPM. Hawa "wenye CCM yao" hawataki kusikia mawazo ya JPM yanapingwa, wanasema kila kitu mama atafanya kama JPM na "alifundishwa kazi na Shujaa wa Africa". Na yeye nadhani kwa kuogopa kelele zao, ameamua kuchomekea msemo kinamna "Kazi Iendelee"Kikwete aliharibu sana kipindi chake. Magufuli naye aliharibu sana kipindi chake. Mtihani ulio kwa mama Samia ni kutorudia makosa ya Kikwete na kutoendeleza makosa ya Magufuli.
Mimi ni BawachaKikwete arudi kabisa madarakani au unaonaje bavicha
Ahaaa... Unaonaje sasa JK karudi kabisa awe rais wetuMimi ni Bawacha
We jamaa una shida gani na kikwete mbona umemkomalia sana?Kumbe ndio maana Kikwete anaongea sana, sasa itabidi na Samia aunde kundi lake huko ili awe salama, huyu mama anatakiwa kuwa vocal zaidi kuendelea kusemewa na Kikwete ataonekana dhaifu.
Mbona chini ya ule ukuta biashara ya Tanzanite inaendlea kama kawaida.Sio walidiriki kusema ni dhaifu serikali yake twiga walisafirishwa , madini tuliibiwa kwa kiwango Cha juu viongozi walijikimbikizia mali kupita vipindi vyote
Haya kaa kakae na mavi yako nyumbani-Magu.Ngoma droo!!
Tupo tunaoamini mpaka Leo, kikwete hawezi kabisa kuifanya nchi ikaheshimika hata kidogo, afanyeafanyavyo,amebarikiwa tu kuwa na moyo wa kupuuza mambo, lakini kuiongozi ni zero kabisa
Siwezi kusahau kipindi chake, ilikuwa ni hovyo tu, hakuna la maana, la maana ni Kwa hao waliofaidika na safari zake
Ndio nini sasa umeandika we bintiHaya kaa kakae na mavi yako nyumbani-Magu.
Ya Magufuli ulikuwa unajua?Awamu hii,ndio tunakoelekea wala hatupajui.
TutamkumbukaYa Magufuli ulikuwa unajua?
tutamkumbuka ndio, Kikwete tunamkumbuka pia, Mkapa, Mwinyi na NyerereTutamkumbuka
We mama unataka kupanuliwa?-Magu.Ndio nini sasa umeandika we binti
Aliyeko leo yuko dodoma mkutanoni,kesho yuko mwanza may Mosi, tarehe 5 may ,yuko nairobi. Ndio mwaka unaisha hivyoYa Magufuli ulikuwa unajua?
Daah Ngwale mkorofi aisee...lugha za picha tena ikipigwa kwa hizi camera za kisasa tunazielewa mno mno...Kakalia nusu kochi "lugha laini" maana "lugha kavu" au ya moja kwa moja ni "kakalia kalio moja"
Lugha za kisiasa hizoSasa hapo kwenye kutoendekeza, mbona tunaaminishwa na "wenye CCM yao" kwamba mama Samia Suluhu Hassan anaendeleza ya JPM. Hawa "wenye CCM yao" hawataki kusikia mawazo ya JPM yanapingwa, wanasema kila kitu mama atafanya kama JPM na "alifundishwa kazi na Shujaa wa Africa". Na yeye nadhani kwa kuogopa kelele zao, ameamua kuchomekea msemo kinamna "Kazi Iendelee"
Picha ya zamani hiyo akijieleza kwa Rais wake hujui hata lugha ya picha ras JeffMama anajieleza ama anafafanua jambo!!?