Well done Jakaya Kikwete

Well done Jakaya Kikwete

1619765135129.png
Protokali ilikiukwa...! Kwa nini Rais wetu enzi hizo alivishwa tai ya bluu badala ya nyekundu? Mh Job Ndungai nadhani anaweza kutoa ufafanuzi.
 
Jinga wewe unadhani bila umadhubuti wa awamu ya tano ungetangaza hata hiyo kadi yako?
Wale wanaojiita wana CCM sijui nini ndo walitaka kukiua chama na wangebaki na mashati yao ya kijani huku wakiyaficha au kuyapigia deki kwao.
Kumbukeni mlivyokuwa mnafukuzwa kariakoo kama mbwa na vipigo juu,
Kisha unajisifia?
Jinga kweli.
Wanaoshangilia yanayoendelea wala si ccm. Hao ni wa upande mwingine. Miaka 6 nyuma ilikuwa shida kukatiza mtaani na jezi ya ccm. Magu alikitoa chama shimoni.
 
Mimi kweli namchukia Mwendazake, Ila sikuzuii wewe kumpenda. Tubakie tu kila mtu ashinde mechi zake. Kwangu Mwendazake alikuwa mwizi wa mali ya umma, mwongo, mbaguzi wa maendeleo, mkabila, mropokaji, mbambikiaji kesi za uhujumu kwa wakosoaji, muuwaji. Kimsingi Magufuli alikuwa mtoto wa Shetani
 
Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.

Amepitia mengi, mazuri na mabaya.

Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.

Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.

Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.

Mimi kadi yangu ni ya 1977.

Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.

Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Hakika over time.
Uvumilivu unalipa.
Twasikia JPM alisha muweka kibano mama Kikwete .
 
Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.

Amepitia mengi, mazuri na mabaya.

Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.

Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.

Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.

Mimi kadi yangu ni ya 1977.

Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.

Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Mkuu unafurahia usiyoyajua....
 
Kumbe ndio maana Kikwete anaongea sana, sasa itabidi na Samia aunde kundi lake huko ili awe salama, huyu mama anatakiwa kuwa vocal zaidi kuendelea kusemewa na Kikwete ataonekana dhaifu.
Tutaanza kutembeza vibaba tena, hayo ndio waliyoyataka baada ya kuwekwa kapuni na chinga pamoja na jiwe,sasa wote hawapo kila mtu anatoka shimoni, tunakoenda siko.
 
Tutaanza kutembeza vibaba tena, hayo ndio waliyoyataka baada ya kuwekwa kapuni na chinga pamoja na jiwe,sasa wote hawapo kila mtu anatoka shimoni, tunakoenda siko.
Mwendazake kakopa hela nyingi kuliko watangulizi wake wote waliopita unalijuwa hilo?
 
Back
Top Bottom