Mapema hivi?!Tutamkumbuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapema hivi?!Tutamkumbuka
so what?Aliyeko leo yuko dodoma mkutanoni,kesho yuko mwanza may Mosi, tarehe 5 may ,yuko nairobi. Ndio mwaka unaisha hivyo
Wewe huwa mbinafsi sana na Mbeya yakoSafi kabisa mkuu.
Siye tumecheza gwaride la Vijana TYL.
Wengine wala hawajui.
Ningekua sijaoa ningeongeza mwanamke mweupe kama wewe-Magu.Tokea hapa, siwezi tena jibishana na wewe mbwa!!
Protokali ilikiukwa...! Kwa nini Rais wetu enzi hizo alivishwa tai ya bluu badala ya nyekundu? Mh Job Ndungai nadhani anaweza kutoa ufafanuzi.
Mafisadi mnafurahisha kweli kweliChama kilitekwa haswa, na wenye chama hata muelekeo na itikadi tulikuwa hatujui kinaelekea wapi.
Cha kukera ni kuwekewa Katibu Mkuu ambaye hakijui chama.
Wanaoshangilia yanayoendelea wala si ccm. Hao ni wa upande mwingine. Miaka 6 nyuma ilikuwa shida kukatiza mtaani na jezi ya ccm. Magu alikitoa chama shimoni.Jinga wewe unadhani bila umadhubuti wa awamu ya tano ungetangaza hata hiyo kadi yako?
Wale wanaojiita wana CCM sijui nini ndo walitaka kukiua chama na wangebaki na mashati yao ya kijani huku wakiyaficha au kuyapigia deki kwao.
Kumbukeni mlivyokuwa mnafukuzwa kariakoo kama mbwa na vipigo juu,
Kisha unajisifia?
Jinga kweli.
Ongea taratibu wasikusikie wenyewe, hawapendi ujue mama D YEHODAYA CountrywideLugha za kisiasa hizo
Nilijua ndio ya Dodoma muda mfupi uliopita..Picha ya zamani hiyo akijieleza kwa Rais wake hujui hata lugha ya picha ras Jeff
Lini aliwahi KUONDOKA Africa?
Hakika over time.Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.
Amepitia mengi, mazuri na mabaya.
Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.
Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.
Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.
Mimi kadi yangu ni ya 1977.
Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Mkuu unafurahia usiyoyajua....Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.
Amepitia mengi, mazuri na mabaya.
Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.
Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.
Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.
Mimi kadi yangu ni ya 1977.
Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Haukuwa umelegea alikuwa MTU wa uwazi na ukweli....sio Hiloe jiweKikwete ni kweli uongozi wake ulikuwa umelegea kidogo lakini alikuwa afdhali kuliko Magufuli. Nadhani Samia atarekebisha ya Kikwete na ya Magufuli na kuwa rais bora zaidi kuliko wote wawili.
Tutaanza kutembeza vibaba tena, hayo ndio waliyoyataka baada ya kuwekwa kapuni na chinga pamoja na jiwe,sasa wote hawapo kila mtu anatoka shimoni, tunakoenda siko.Kumbe ndio maana Kikwete anaongea sana, sasa itabidi na Samia aunde kundi lake huko ili awe salama, huyu mama anatakiwa kuwa vocal zaidi kuendelea kusemewa na Kikwete ataonekana dhaifu.
Bora kuliko tunayoyajua.Mkuu unafurahia usiyoyajua....
Mwendazake kakopa hela nyingi kuliko watangulizi wake wote waliopita unalijuwa hilo?Tutaanza kutembeza vibaba tena, hayo ndio waliyoyataka baada ya kuwekwa kapuni na chinga pamoja na jiwe,sasa wote hawapo kila mtu anatoka shimoni, tunakoenda siko.
Ok sawa mkuu ya kitambo hiyo wananchi wanaunganisha dot...Nilijua ndio ya Dodoma muda mfupi uliopita..