Well done Rais Samia

Well done Rais Samia

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nikupongeze kwa dhati mama Samia kwa kuongoza vema kwa huu mwaka mmoja.

Haikuwa rahisi, lakini kilichokuwa kinatusononesha wengi ni ile state of fear na uncertainities.
Tulikuwa tunaishi kila siku ikijitegemea, hujui kesho litaibuka lipi.

Vyombo vya serikali vilipewa mamlaka ya kufanya lolote kwa mtu yeyote.

TAKUKURU, TISS, TRA, POLISI , MAHAKAMA, walikuwa juu ya sheria.

Chombo kilichokuwa kimebaki bado mioyoni mwa wananchi kilikuwa JWTZ.

Katika mwaka huu moja umerudisha imani na amani.
Asante sana, sasa hata uwekezaji kwa siye wananchi wa kawaida unaanza kuonekana, bila wasi wasi wa kutembelewa na TASK FORCE waliokuwa wanawatoa upepo wafanyabiashara na baadaye kubambika kodi za kufuja mitaji.

Niseme tu wanaokupinga ni wale walifaidika sana na ubambikaki kesi za uhujumu uchumi, uporaji, utekaji , ukabila na vitu kama hivyo.

Songa mbele mama, amani ni tunda la Mungu mwenyewe.
 
Nikupongeze kwa dhati mama Samia kwa kuongoza vema kwa huu mwaka mmoja.

Haikuwa rahisi, lakini kilichokuwa kinatusononesha wengi ni ile state of fear na uncertainities.
Tulikuwa tunaishi kila siku ikijitegemea, hujui kesho litaibuka lipi.

Vyombo vya serikali vilipewa mamlaka ya kufanya lolote kwa mtu yeyote.

TAKUKURU, TISS, TRA, POLISI , MAHAKAMA, walikuwa juu ya sheria.

Chombo kilichokuwa kimebaki bado mioyoni mwa wananchi kilikuwa JWTZ.

Katika mwaka huu moja umerudisha imani na amani.
Asante sana, sasa hata uwekezaji kwa siye wananchi wa kawaida unaanza kuonekana, bila wasi wasi wa kutembelewa na TASK FORCE waliokuwa wanawatoa upepo wafanyabiashara na baadaye kubambika kodi za kufuja mitaji.

Niseme tu wanaokupinga ni wale walifaidika sana na ubambikaki kesi za uhujumu uchumi, uporaji, utekaji , ukabila na vitu kama hivyo.

Songa mbele mama, amani ni tunda la Mungu mwenyewe.
Tar 17 March iwe siku ya Mapumziko. Kukumbuka siku tulipopata uhuru tena...
 
Umesahau nani walihusika na operation ya bureau de Change Arusha na biashara ya serikali kukusanya Korosho kusini mwaka 2018.
Nikupongeze kwa dhati mama Samia kwa kuongoza vema kwa huu mwaka mmoja.

Haikuwa rahisi, lakini kilichokuwa kinatusononesha wengi ni ile state of fear na uncertainities.
Tulikuwa tunaishi kila siku ikijitegemea, hujui kesho litaibuka lipi.

Vyombo vya serikali vilipewa mamlaka ya kufanya lolote kwa mtu yeyote.

TAKUKURU, TISS, TRA, POLISI , MAHAKAMA, walikuwa juu ya sheria.

Chombo kilichokuwa kimebaki bado mioyoni mwa wananchi kilikuwa JWTZ.

Katika mwaka huu moja umerudisha imani na amani.
Asante sana, sasa hata uwekezaji kwa siye wananchi wa kawaida unaanza kuonekana, bila wasi wasi wa kutembelewa na TASK FORCE waliokuwa wanawatoa upepo wafanyabiashara na baadaye kubambika kodi za kufuja mitaji.

Niseme tu wanaokupinga ni wale walifaidika sana na ubambikaki kesi za uhujumu uchumi, uporaji, utekaji , ukabila na vitu kama hivyo.

Songa mbele mama, amani ni tunda la Mungu mwenyewe.
 
Umesahau nani walihusika na operation ya bureau de Change Arusha na biashara ya serikali kukusanya Korosho kusini mwaka 2018.
Nakazia
Anaosema Wanaaminika Ndiyo Hao Hao Walihusika Uwezo Wa Wabongo Kufikiria Ni Mdogo Ama Hawajui Tanzania Kinaendelea Nini
 
ccm mnaendelea kukizika chama chenu kwa kuendekeza ujinga badala ya akili!
Kila kukicha hongera mama Samia badala ya kusema hongera serikali ya ccm!
Samia hana sera zake bali anatekeleza sera za ccm, amkeni enyi watu!
 
ccm mnaendelea kukizika chama chenu kwa kuendekeza ujinga badala ya akili!
Kila kukicha hongera mama Samia badala ya kusema hongera serikali ya ccm!
Samia hana sera zake bali anatekeleza sera za ccm, amkeni enyi watu!
We jinga sana, kwani Magufuli alikuwa chama gani?
 
No jamaa ana point hapo, hii tabia ya kutukuza sana kiongozi mkuu badala ya taasisi ambayo ilikuzwa sana kipindi cha Magufuli, haina afya kwa taasisi yenyewe, Nakumbuka hata Mkapa aliwahi kushauri hili kwa Magufuli
Kutukuza na kusifia vitu viwili tofauti.
Mtu akifanya vema kuondoa udhalimu systemic tuliouona Awamu ya 5, lazima apongezwe.
 
Nikupongeze kwa dhati mama Samia kwa kuongoza vema kwa huu mwaka mmoja.

Haikuwa rahisi, lakini kilichokuwa kinatusononesha wengi ni ile state of fear na uncertainities.
Tulikuwa tunaishi kila siku ikijitegemea, hujui kesho litaibuka lipi.

Vyombo vya serikali vilipewa mamlaka ya kufanya lolote kwa mtu yeyote.

TAKUKURU, TISS, TRA, POLISI , MAHAKAMA, walikuwa juu ya sheria.

Chombo kilichokuwa kimebaki bado mioyoni mwa wananchi kilikuwa JWTZ.

Katika mwaka huu moja umerudisha imani na amani.
Asante sana, sasa hata uwekezaji kwa siye wananchi wa kawaida unaanza kuonekana, bila wasi wasi wa kutembelewa na TASK FORCE waliokuwa wanawatoa upepo wafanyabiashara na baadaye kubambika kodi za kufuja mitaji.

Niseme tu wanaokupinga ni wale walifaidika sana na ubambikaki kesi za uhujumu uchumi, uporaji, utekaji , ukabila na vitu kama hivyo.

Songa mbele mama, amani ni tunda la Mungu mwenyewe.
Amani tunda la HAKI
 
Mama anaponya taifa

Mama anafungua nchi

Nani kama mama?

2025 CCM na Tume ya Taifa ya Uchaguzi wachapishe form moja moja za mgombea Urais.

Mama apite bila kupingwa, anastahili.
 
Mama anaponya taifa

Mama anafungua nchi

Nani kama mama?

2025 CCM na Tume ya Taifa ya Uchaguzi wachapishe form moja moja za mgombea Urais.

Mama apite bila kupingwa, anastahili.
Ila demokrasia izingatiwe
 
Kama kuna jambo baya alilotuachia Magufuli na bado linaendelea kwa Kasi ya 4G ni Huu UCHAWA....

Sijui tunasahau msemo wa Wahenga kwamba Kizuri Chajiuza na Kibaya Chajitembeza...

Hizi nguzu za Propaganda na Kampeni kabla ya Kampeni zingetumika kutenda na sio kusifu huenda kusingehitajika Kusifia kila Kukicha
 
Back
Top Bottom