Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?

Aachane na ndomo kila mtu ana maisha yake mxiuuu, kwa hyo kama kaolewa (ikiwa kweli ) ndomo afanyaje?
 
Haya oneni watu wanataka haribia kazi wengine, badala ya kutangaza filamu wanadai ni ndoa yao....

Kweli wizi mtupu huo

Inasikitisha sana kisa Diamond na Zari. Ndio mwanamke udakie kazi za watu kuita harusiii...mkome kumuitia kazi hana soko tafuteni wasanii wapya muwapaishe sasa...

jamanii!sijui hata wema anawazaga nini huyu dada!?yaani tabia ambazo ilikuwa afanye mwanaume badala yake anafanya yeye!!

Mwanamke anasura nzuri sana na umbo lakini hajithamini hata kidogo
 
Hakuna kitu kinachomfurahisha mwanamke duniani kama siku ya HARUSI tena ukiwa na mumeo ukijidai nae kwenye mipicha kila kona!

Umeolewa halafu unamficha mumeo hutaki watu wamjue??hii kali ya mwaka!!ltena ndoa ya kwanza hutaki kumuonyesha mumeo!!ahahhaa.

Kuachwa kubaya sana aisee yaani unaweza ukafanya mambo ya ajabu sana wakati ungekuwa katika hali ya kawaida huwezi kufanya wallahi!!

Wema mdogo wangu huwezi kushindana na wanaume hata siku moja

Nakwambia anavyohangaika hyo yote kwa sababu ya kesho zari white party
 
Huyu huyu alishawahi kutuambia kejenga nyumba ya mamilioni kumbe amewekwa tu!!
 
Hapo sasa.Huyu ana lake zitooo kuliko maelezo.
Wema huyu tunayemjua sisi au yupi wa kuficha kitu?

Ndo nishangae, yani wema huyu huyu ya sirini ayatoe then ya kutoa afiche? Mxiuuu
 
Watu majasili kuliko morani,msululu aw wema kuanzia anasoma hadi sasa naujua anajaza bus za mkoani 5
 
Nakwambia anavyohangaika hyo yote kwa sababu ya kesho zari white party

Yaani sijui kwanini ana presha wakati yeye ndie aliyemuacha domo!!au kesho jamani kuna ndoa ya chibu na bi zari ndio maana wema ameamua aanze kujihami mapemaa??

Huenda wema amezipata nyepesi nyepesi
 
Mumesikia Director hajafurahia muviii yake kuibiwa credit na Wema kudai ilikuwa ni ndoa yake...wakati ni kuvi na gari la director ndio lilikuwa linatumika kikazi.

Mpo???????????
 

Attachments

  • 1430417853471.jpg
    1430417853471.jpg
    35.3 KB · Views: 532
  • 1430417871994.jpg
    1430417871994.jpg
    39.8 KB · Views: 535
Ana mrusha roho tu diamond na zari hana lolote!kuolewa kulivyokuw raha masikhara sasa??!unatamani dunia nzima ijue kama umeolewa halafu humfiche mumeo!wema gani wakuwa na siri!

Ameshindwa kujifichia siri ya ugumba ataweza kuficha mume na ndoa?

AHahahah mbea mwenzangu nimekupenda mwaaaah!! Umejua kunifuraisha, wema huyu aliyesema kuwa hawezi kuficha mtu ambaye yupo nae, tena leo aolewe afiche? Mxiuuuuu!! Ila umenichekesha binamu eti kama ugumba wake kashindwa kuuficha itakuwa mume? Ndo tujiulize
 
jamanii!sijui hata wema anawazaga nini huyu dada!?yaani tabia ambazo ilikuwa afanye mwanaume badala yake anafanya yeye!!

Mwanamke anasura nzuri sana na umbo lakini hajithamini hata kidogo

Ndio hayo ya kuacha mwanaume ukiwa bado unampenda kisa unasikiliza watu kuwa anaiba nyota....

Ndio haya sasa kuweuka, bora angekaa kimya na kufanya yake.

Timu ----- bado wanampangia life
 
Mwenzangu huko insta kuna picha dougiemasta kaweka eti kuna party ya harusi sijui nini!
Hawana lolote wanataka kuwachanganya watu tu na hivi kesho kuna party ya diamond na zari...

Tumeshawajua janja yao mbwa hawa mxiuuuu
 
Mumesikia Director hajafurahia muviii yake kuibiwa credit na Wema kudai ilikuwa ni ndoa yake...wakati ni kuvi na gari la director ndio lilikuwa linatumika kikazi.

Mpo???????????

Usinivunje mbavu mimi leooo
 
AHahahah mbea mwenzangu nimekupenda mwaaaah!! Umejua kunifuraisha, wema huyu aliyesema kuwa hawezi kuficha mtu ambaye yupo nae, tena leo aolewe afiche? Mxiuuuuu!! Ila umenichekesha binamu eti kama ugumba wake kashindwa kuuficha itakuwa mume? Ndo tujiulize

ahahahah yaani nakuambia hana lolote huyu binamu ni mbwembwe tu.
 
Back
Top Bottom