Wema kama hafaam ana nyota kama ya Amina chifupa(ac)yenye mafanikio sasa kila mtu anataka apitie hapo ili atoke mfano wa watu kama shigongo,nchimbi,vicky kamata walikwaruza na AC,na wakawa maarufu alipokufa tu wote sasaivi hawavumi.Imeamia kwa wema yeye kupitia mgongo wake watu kama kina chalz baba,kanumba,blue na diamond wanavuma kupita nyota ya mwanadada na kumwacha,kwaiyo Wema hawe makini kama umaarufu anao asipende kutumika na hawa wajinga wanaojiita mastar atafute mtu wa kawaida wataishi maisha ya raha mustarehe.