Wema, diamond... Hakuna ndoa

Wema, diamond... Hakuna ndoa

huyu Wema atulie sasa na atafute mtu mwenye heshima zake.....hawa kapuku sijui huwa anawatoa wapi.....huyu diamond alitaka sifa ili aonekane nae yumo
point...ila mimi mda mwingi sana nilikuwa na wasi wasi na huu uhusiano ati
 
nawashangaa mnaomlaumu Wema wakati mwenye matatizo hapo ni hako kakijana....ila Wema na wewe achana na vidude vya namna hii jamani wakati mwingine usiusikize moyo dunia nyingine hii shauri yako utaumalizia uzee Tandale
 
nawashangaa mnaomlaumu Wema wakati mwenye matatizo hapo ni hako kakijana....ila Wema na wewe achana na vidude vya namna hii jamani wakati mwingine usiusikize moyo dunia nyingine hii shauri yako utaumalizia uzee Tandale
ok hebu jibu kuleeee,leo nna njaa nawe igweeeee nadhani hajarudi
 
Wema kama hafaam ana nyota kama ya Amina chifupa(ac)yenye mafanikio sasa kila mtu anataka apitie hapo ili atoke mfano wa watu kama shigongo,nchimbi,vicky kamata walikwaruza na AC,na wakawa maarufu alipokufa tu wote sasaivi hawavumi.Imeamia kwa wema yeye kupitia mgongo wake watu kama kina chalz baba,kanumba,blue na diamond wanavuma kupita nyota ya mwanadada na kumwacha,kwaiyo Wema hawe makini kama umaarufu anao asipende kutumika na hawa wajinga wanaojiita mastar atafute mtu wa kawaida wataishi maisha ya raha mustarehe.

I can sense some truth in these remarks
 
Sasa kumuacha mtu mpaka utangaze kwenye magazeti...?!!!

Sijui kwanini hawa watu wanapenda kuishi maisha yao kwenye magazeti, alafu wakianikwa na kuandikwa kwenye udaku wanaanza kulalamika..
Kuacha au kuachana ni kitu cha kawaida.., ila kutangazia umma ni utoto
Celbrity fame strategy... to remain on headlines..
 
Huyo diamond ni mpuuzi na mshamba tu!kwani kabla hajamuingage wema alikuwa hajui tabia zake?limbukeni tu wa umaarufu!stupid boy!
 
they didn't real fell in love....but in infatuation..
 
Penzi kama kiti cha basi,
Ukishuka anakaa mwengine.
Anapatikana wapi huyu binti nami niingie kwenye list?
Ila tu mi sio Superstar ingawa fedha ya kumlea ninayo

Mbona anapatikana sana tu, nimemuacha maeneo ya sanyansi mida hi hi.
Wahi kabla hajaondoka maana kaniaga anaenda zake Ilala majira ya saa 10 jioni.
 
Jamani naomba namba ya wema aliyekuwa nayo haka katoto nakapendaga halaf nakaonea huruma kanavyteseka
 
Baada ya TID,Mr. Blue,Kanumba,Jumbe,Chaz Baba na hatimaye Diamond tusubiri tuone sasa ni zamu ya nani kumchukua Wema
 
Penzi kama kiti cha basi,
Ukishuka anakaa mwengine.
Anapatikana wapi huyu binti nami niingie kwenye list?
Ila tu mi sio Superstar ingawa fedha ya kumlea ninayo
Huna chakufanyia hizo pesa?!!!!! pole mkuu
 
my friend diamond popote pale ulipo...........hujafanya vyema!!

sisemi hujafany avyem akumuacha wema..la hasha!!kitendo cha kumvika pete ndani ya mwezi huo huo n akuamua kumtosa huyo binti umeprove failure,............umeonyesha jinsi gani huna msimamo kama mwanaume...hata huyo mama yako vile vile si mshauri mzuri hasa kwenye masuala hayo au hakushauri kwa wakati muafaka.....

watu wa dizaini ya diamond wanaitwa 'results driven'.....yaani mnafanya maamuzi baada ya kuamua...sijui kam aumenielewa vizuri....!!

always jaribu kukaa chini na kuwa na watu unaowaamini katika maisha yako utakaokuwa wazk kwako wakushauri kwa kil akitu kilicho mbele yako..................mama yako anakuogopa mdogo wangu.........inawezekana kweli ulishauriwa hivyo na wema na mama akawa hampendi ila alihofia upendo wake kwako...mama nae anamakosa

chakufanya kaa chini..tulia sana na mamboyako ya mapenzi usiyaweke wazi kbs kweny emagazeti unless otherwise....tafuta wakati muafak aUKAMUOMBE RADHI WEMA...machozi yake yatakukost mdog wngu..........huop ni mkosi kwako na kw afamilia yako..usijione shujaa bali ni nuksi na mkosui mkubwa sana huo.................poleni sana wadogo zangu.maisha ni kujipanga every moment u get...narudia tena..............................................EPUKA KUAMUA BAADA YA KUFANY AMAAMUZI...FANYA MAAMUZI SAHIHI WAKATI SAHIHI..

MDAU

We ni kaka yake Wema sepetu?? Manake imekuuma kichizi
 
Back
Top Bottom