Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Sana primary nimesoma mbali na home nilikuwa naenda nampakia mdogowangu ila haikua phoenix baiskeli flan wenyew walikuwa wanaita baiskeli za gia🤣🤣🤣
Haikukuletea hasara yoyote ile hiyo baiskel kuendesha kwa muda mrefu? 😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo Mimba ningechoropoaa hata kablaa aliyenipa hajajua. Lol
cocastic bhana
 
Hongera kwa kutunza siri, Mimi mtu akiniambia kitu halafu aseme nisimuambie mtu, huwa namuambia mama yaani hapo nahesabu Kama sijamuambia mtu😄😄😄na yeye namuambia asimwambie mtu, anamwambia mdogo wangu wa kike, hapo anaona hajamwambia mtu😄😄.
 
Hongera kwa kutunza siri, Mimi mtu akiniambia kitu halafu aseme nisimuambie mtu, huwa namuambia mama yaani hapo nahesabu Kama sijamuambia mtu😄😄😄na yeye namuambia asimwambie mtu, anamwambia mdogo wangu wa kike, hapo anaona hajamwambia mtu😄😄.
🤣🤣🤣🤣Hiyo Kali mm km kitu Cha hasira simwambii mama Hana kaba amenyooka
Kunamtu alisema Kwa watu alichoongea na mama akatia chumvi kumbe mama hakusema hivo Ile namaliza kumwambia akavaa viatu safari Kwa yule mama kwenda kumuuliza kwanini ameongea kitu ambacho sio nlichoka 😂😂😂
Nikasema sirudii
 
Haikuwa mwaka mzima na Ilikuwa mchana tu tunaenda Kwa mguu na kurudi Kwa mguu ila mda wa lunch narudi nayo Ili tuwah mama alikuwa ana duka karibu na shule kwetu so anakuja nayo asubhi na kurudi nayo jio

Haikuwa mwaka mzima na Ilikuwa mchana tu tunaenda Kwa mguu na kurudi Kwa mguu ila mda wa lunch narudi nayo Ili tuwah mama alikuwa ana duka karibu na shule kwetu so anakuja nayo asubhi na kurudi nayo jion
Aaliyyah NAKUPENDA sana(ni siri itunze sana ina kitu tutafika mbali)
 
Ngoja nimalizie
Mwisho mkuu hakumfukuza akamsamehe wiki 4 sio
Mkuu akabakia kwenye ubaba
Na
Sasa Khadija ni mwl sumbawanga
 
Back
Top Bottom