Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Basi sherehe zikaanza bahat nzuri mgeni rasmi lichelewa nimesema bahat nzuri sabbu hatukuwa na Raha kabisa hivo sherehe ikaenda haraka sababu ilichelewa kuanza

mm na Hadija hatukukaa pamoja sabbu ya majina yenu yalikuwa tofaut tulipangwa Kwa alafabet mkuu muda wote anatukazia macho Kwa zamu nafikiri alikuwa na hofu watu wasije wakachomoa betri kwenue sherehe maana Kuna watu Dunia hii wanapenda kufurahia matatizo ya wenzio
Mama hadija alikuwa high Table Kwa sabbu ni mjumbe wa kamati ya shule

Alhamdulillah mambo yaliemda kama yalivopngwa hatimaye sherehe ikaisha kipind hiko mamaangu alikuwa amesafir so walikuja wajomba na auntzangu nduguzake Hadija walinipiga kampani sana tukafurahi japo kiasi yakaisha wiki 2 za kujiandaa na mitihani zikawa zimebaki hapa ndipo Ilikuwa kivumbi na jasho

Kunamwalimu alikuwa hampemd hadija sijui kulikuwa na shida gai katiyao 😀 alikuwa ni Mwalimu wa ovyo ana kauli mbaya hapedwi na wanafunzi Wala haelewani na walimu wenzake na tushawahi mshuhudia anambishia mkuu live

Jumatatu ikawadia shule ikaendelea ni kukaza msuli wa mitihani yule ticha alikuwa anatufudisha kiswahili akawa akiingia darasani anamkazia macho hadija ni kama vile habari zimemfikia alafu anataka amwage ugali
Asubhi tukamaliza vipindi salama mda wa masomo ya jion ukafika huwaga situliag darasani Yani kuzurula nipo huku mara kule 😀😀😀natoka nje kwenye kordo akaniita njoo

Mwalimu L;rafikiyako anashida gani
Mimi;nani nikamtaja rafikiyangu yule kipenz kabisa
Mwalimu L;sio ni hadija
Mimi;kwanini
Mwalimu L;kama hayko sawa hiv kama anaumwa
Mimi;namuona kawaida tu hata haumwi akacheka
Akasema sawa nenda darasani akaanza kumfata fata hadija na kumhoji akawa anakana na kumkwepa
Hofu ikaanza Yani tukisikia kengele tunawaza muda wowote mtu anapewa barua hadija alikiwa Hana Raha
Mimi Sina amani kabisa Yani Kila mtu akiniagalia usoni naona kama anataka kuniuliza

Sikumoja niliitwa na wanafunz wenzangu nyuma ya choo walikuwa kama 8 akiwepo na shost et kuniuliza kwann mkuu annaiita ita au ananitaka nilistaajabu sana kikao kile nikawaambia sijui kma ananitaka nikaondoka nikawaacha wanajaadiliana

Finnaly tulimaliza salama japo Kwa minde na stress za hali ya juu

Siku tuliyofanya Ile mitihani hatukuamini kama shule iliisha binafs nilikuwa nateswa na Ile haliyake viatu vyake vilikiwa sio vidogo

baada ya shule
hadija akatunzwa na wazazi wake Hadi alipojifungua bahati mbaya mtoto akafariki
Yule baba namkumbuka sana alipambana sana kumkingia kifua hadija Hadi mwisho wa mitihani ila Sasa ameshafariki
Mungu ampumzishe mahali pema peponi 🙏
When teachers were teachers sio leo walimu wanatwisha mimba wenyewe washachoka mimba za watu wa mtaani .

Keep resting Headmaster
 
Inaendelea

Muda huo mapigo ya moyo yameongezeka maradufu

Mkuu akaendelea
Mkuu;Sasa nakutuma nenda Kwa hadija kmuulize kama ni kweli na akwmabie nani mwenye hiyo mimba nenda
Sheria ziko wazi mwanaume kifungo msichana shule ndio basi ila roho inaniuma ni wiki 4 zimabaki sijui itakuje ila fanya nilichokuagiza
Mimi:sawa Ile kinyonge huku vimachozi Kwa mbali

Darasa linaaubiri mrejesho kama unavojua wanafunzi 😀nikaona nipitilize chooni nikahaikishe uso uko sawa ndipo niingie

Kuhus hadija
Tunaishi mtaa mmoja pia tuko nae kwenye group la discussion ni mtu wa karibu wazazi wake wanaishi kijiji jirani yeye anaishi na dadayake ambae anaishi karibu na shule tunayosoma ni mpole msiri na tulikuwa hatujui hata boyfriend wake ni nani Zaid Kuna mwanafunz mwenzetu ilisemakna ni mpenz wake ila hadija alikana licha ya kuwa nae karibu na kwenye discussion tuko pamoja

Niliumia sana ikabidi niwadanganye kuwa niliitwa Kuna vitu havikuwa sawa mwenye usajili wa mitihani ila nilikuwa n rafikiyangu kipenzi akawa anahisi siko sawa mudawote nawaza lakini sikumwambia nn shida

Kila hadija akinisemesha nahis nachoka namwambiaje kwao ndio bint wa kwanza kufika 4m 4 mamaake anahangaika mno analima sio poa anamuhudumia mwanae nikapiga moyo konde nikamuita
Jioni tukiwa tumesharudi shule
Story tamu 😍
 
Nikamwambia ukweli kuwa .kuu wa shule anajua aisee alilia Sana Hadi nilimuonea huruma tukabembeleza muda huo dadayake hakuwepo tukakubaliana tukae kimya nikaondoka kurudi nyumbni nikiwa na majonzi mno
Siku ya pili tukaenda shule kama kawaida mkuu akaniita kutaka mrejesho nikamwambia hali ulivo kuwa kijana ameshatoroka hayupo na ujauzito kweli upo na umegoma kutoka na hata wazazi na nduguzake hawafahamu Hilo

Akanambia nimwambie hadija akamwaambie wazazi wake
Bas bhana baada ya vipindi nilamafat kumwambia kuwa anatakiwa awaambie wazazi wake na dadayake tatizo alinalo
Akagoma huku analia akasema hawezi kuwaambia hasa mamayake nikamwambia twende Mimi nitawaambia
Kwakweli nilikuwa mdogo alafu sijui ujasiri nilipata wapi sikuwa nawaza namuitaje mtu mzima et akae anisikilize 😀😀😀
Bahat nzuri akasema mamaake na dadayake wako shamba pamoja hivo watarudi wote huwa wanapitia Kwa mamayao Kijiji Cha pili kuacha mzigo yeye ndio hurudi huku tunakoishk nikasema tumuwahi tukute wakiwa wote tukakubaliana

Nakumbuka Ilikuwa ijumaa Huwa tunatoka mapema kwaajili ya masjid Kisha tunarud saa 8 tukaazima baiskeli ya mwanafuzn mwenzetu tukapakiana Hadi kwao tukakuta hawajarudi shamba ikatulazim kusubiri
Hadija akapika ugali tukala pamoja na wadogozake ambao walikuwa wapo pale kwao nakula huku nawaza neno la kwanza namwambia yule mama litakuwaje na uzee ule muhusika macho yamevimba Kwa kilio 😀😀
Mwanangu kumbe tangu kitambo ulikuwa unapiga phoenix?🤣
 
Mlongo cocastic na Mimi nitaleta story yangu naanza kuiandika leo usiku ikiisha yote nitaiweka hapa.
Jinsi binti wa Kiyao alivyokimbia na nguo zangu wakati naogelea Ngungani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naisubiriii kwa hamuuu hiyoo story, mlongo fanya kweli usiniangushee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom