Naomba kuwa mjumbe wa kamati kuuChama Cha wasoma comment Tanzania. Chawacota
Na wewe ulijikaza kwa umri huo kutunza siri kubwa namna hiyo, Hadija bado mko marafiki?Ndio ukweli dear
Nkulukulu hii ya akina Endrew,John na Jere?πNakijua kinyantuzu vyedi kabisa
Ila Wanyantuzu ni Much know sana Bagheshi.
Utasikia Bebe nang'ho lekaga u bholele ugeyatyigwa bhomanija ghoke nani oyho adamanile egeswahili olhe ng'hunga sana nyanda ong'wana Nkulukulu (Ng'wizukulu) π€£π€£π€£
Nipo vizuri Bagheshi
Kuna siri nikwambie utaitunza na kuilinda? Aaliyyah ?Hata mm sijui ni kwanini alinambia suala kubwa hivo
Lakin sahiz nimekuwa Nina hiyo character ya kuaminiwa watu kuniambia mambo Yao hata nilowazid umri
Sawa Mama Vipi umeolewa wewe.Hata mm sijui ni kwanini alinambia suala kubwa hivo
Lakin sahiz nimekuwa Nina hiyo character ya kuaminiwa watu kuniambia mambo Yao hata nilowazid umri
Nimeanzisha uzi nakutagYani hata ufanye tukio usiku asubuhi unakuta yapo nje πππ
Wacha weee sio kwamba kifua kimekuwa kipana kina storage (GB) za kutosha ??πππSikuhiz nimezeeka Sina kifua kabisa ukiondoka tu nayamwagaπππ
ππππwenye D mbili kwenye one &two, Kuna jambo hapo limejifichaLakini kwann mkuu wa shule akushirikishe wewe suala la Hadija?
Mrembo wangu,mzima?Mama some food endelea
Nipo siti ya mbele kabisa