Wema na Idris waachana

Status
Not open for further replies.
Sijawahi amini kuwa Wema alikuwa na mimba.
 
Pole kwa team yake maana anayapelekesha kama mazombi,akilia yenyewe yanalia mara 1,000 akicheka yenyewe yanacheka mara 100,000.
Duh!,nimecheka kweli. Leo mashabiki wa Wema sijui wanasemaje au ndio huzuni mara elfu×5
 
hahaha haa haa Kaboom vp uko tayari tuanze process?, Raimundo ametoa suggestion huku

Kaboom kwa mtaji wake wa vifuniko vya asali atasavaivu kwa wiki 1 na siku 5 tu.

Ukipiga ratio za kimahesabu kama Idriss aliyekuwa amebaki na mil 67 wakati anakutana na Wema amekaa kwa Miezi 4 na siku 7, je Kaboom mwenye 6,237,400 atakaa kwa siku ngapi?
 
Acha movie iendelee
 
series nyingi hadi raha
 
kunguru ni kunguru tu hata umfuge na kuku atajisahau siku atalia kwaaaa kwaaaa kwaaaaa.......
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…