[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nichekee mie ni lin huyu mwanamke atakuwa kiakir maana akakuza makalio tuu,kwa kumuangalia tuu je anaweza kukataa milion 50 aliyotangaziwa na kama ana hela kweli kwann anacheza visingeli jukwaani,huyu bint hawez kuwa na akir hata siku moja ameishia ujinga tuuh kwanza ana biashara mjini huyu range ipo wapi nyambafu zake na kiki zake za kifala
Watu wamenuna....
Kisa mil 50
Wenzenu wanaongezaga sifuri jamani... sio wema wala domo
Angeboa tu huyo hana lolote...Hamisa kafunika balaa...Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka kutoa mil 50 ndipo aliposhauriana na uongozi wake na kuamua kukataa.
"Ni kweli ningetokea kwenye video hiyo lakini walitoa pesa madafu,kaka mtangazaji siwezi kuuza sura kwa mil 50,ebu fikiria nimetumia karibia bilioni kutengeneza jina langu,nina biashara za mamilioni,leo Nassib anataka kunipa mil 50,that is not fair kwa kweli"
Mdau yapi maoni yako kuhusu gharama za huyu mlimbwende?
[emoji6] [emoji6] [emoji6]Milioni ina zero ngapi? Si ni 50000000? Yesu bora husirudi tu maana watu hatutautambua uwepo wako 7bu ya pesa
Giggy elfu 20!!!!!???uwongo wema hajasema
...huu uwongo acheni...
video queen hata million hawalipwi...
wanaolipwa atleast vizuri wenye majina..
hawa wengine laki 2 laki3
wengine kina gigy mpaka 20000/=
wengine bure kabisa
ππππππ yale yele ya Pogba na Man U.Wema hana thamani ya pesa hiyo kwa sasa.. ashukur diamond bado anamkumbuka .....sepetuka
kasema PESA MADAFU......... π±π±π±Duh bongo hii watu wanahela mhh..!yani mil50 zinatajw kimasihara tu.
Duh kama Ronaldo Kila sehemu Upo.TEAM MBOVU SANA
Wakati huo huo alikuwa anaiba umeme wa Tanesco kwenye nyumba ya kupanga. Sijui kuhusu Dawasco pakoje.Mimi si amin yaani akatae 50m hivihivi usawa huu .
Tuliambiwa kuwa video ya NUMBER ONE iliyofanyika South Africa walitumia dollars za America kiasi cha kama 30,000 name ndiyo video ilikuwa bora kwa viwango vya kimataifa. Hii ni gharama zote.uwongo wema hajasema
...huu uwongo acheni...
video queen hata million hawalipwi...
wanaolipwa atleast vizuri wenye majina..
hawa wengine laki 2 laki3
wengine kina gigy mpaka 20000/=
wengine bure kabisa