Tetesi: Wema Sepetu a.k.a Tanzania sweatheart kuolewa hivi karibuni

Dah jamaa atafaidi sana,

Kumpata mtoto bikira kabisa super star Wema Sepetu sio jambo dogo eti.
 
Duuuuh wema anatoka na Calisah?
Nistaafu umbea sasa...sio kwa kupitwa huku.
 
Reactions: irk
wasanii wa bongo hadi huruma. wanahangaika jamani dah... sasa huyu Calisah sijui, si kitoto kidogo... mungu saidia hiki kizazi...
 
Reactions: irk
Mambo ya Wema kuvaa dildo na inakua zamu zamu.... Huyo shemela wako anatia shaka.
Hahahah..kwann mbona mm namuona yuko vzur ile mbaya sema hana tu mkwanja mrefu.
 
dahhh me ningekuwa jamaa afu hendsam hivyo nisingehangaika na hiyo TZA au namba T111AA ningetafuta namba namba E
 
Reactions: irk
sasa mbona huyo mume kavaa jinzi mbovu iliyochanika chanika magotini?!
isije kuwa mtanzania mmoja Kati ya watanzania wanne
Iyo ni fashoooon mkuu
 
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] ila Calisa ni muhendisamu
 
Reactions: irk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…