Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Atakumbukwa kwa umbile la ------ yake na hicho ndicho anachopendewa na vijana wengi wa kibongo trust me otherwise nothing special watazunguka SANA ila huo ndio ukweli
 
Nasikia gar la kaka clement lipo garage wiki nzima , so wema anatumia gari nyingine Sijui kashaporwa mhh maana wema haaminik , ebu ngoja tuangalie movie itakavyokuwa , kama kaporwa ntafurah sana
 
wewe jinga ndio utakuwa wa kwanza kufa, unataka hapa jf ukumbukwe kwa hizi pumba zako?
 
Nasikia gar la kaka clement lipo garage wiki nzima , so wema anatumia gari nyingine Sijui kashaporwa mhh maana wema haaminik , ebu ngoja tuangalie movie itakavyokuwa , kama kaporwa ntafurah sana

utafurahi dans ili uinamishwe upigwe nao halafu kelement akupe wewe gari?

serikali ilifanyie kazi hili tatizo la ajira tutazalisha kundi la mashoga wa kutosha kabisa kama hali itaendelea hivi.
 
utafurahi dans ili uinamishwe upigwe nao halafu kelement akupe wewe gari?

serikali ilifanyie kazi hili tatizo la ajira tutazalisha kundi la mashoga wa kutosha kabisa kama hali itaendelea hivi.

Kajiajir kwanza wewe uache kuingia Jamii forum , maan wengine ndo kaz yetu humu
 
utafurahi dans ili uinamishwe upigwe nao halafu kelement akupe wewe gari?

serikali ilifanyie kazi hili tatizo la ajira tutazalisha kundi la mashoga wa kutosha kabisa kama hali itaendelea hivi.

Aisee hua mnatokea wapiiiiiiiiu we umeajiri wangapii
 
Nasikia gar la kaka clement lipo garage wiki nzima , so wema anatumia gari nyingine Sijui kashaporwa mhh maana wema haaminik , ebu ngoja tuangalie movie itakavyokuwa , kama kaporwa ntafurah sana

Gari lile la pinki au ??hebu achana na huyu usimjibu
 
Usiseme tutamkumbuka kwa lipi, sema atakumbukwa kwa lipi? Maana unaweza ukaanza wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…