unique dada
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 770
- 605
Sio dhambi sasa unajirekodi unarusha mtandaoni unataka kumuonesha nani?Kwani kupigana denda zambi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio dhambi sasa unajirekodi unarusha mtandaoni unataka kumuonesha nani?Kwani kupigana denda zambi?
Alitaka kumuonesha mond kua yeye bado ana sokoSio dhambi sasa unajirekodi unarusha mtandaoni unataka kumuonesha nani?
Labda ni mabloggers..!!
Cyo knena n kcmiMtoto wa Kinyaturu,hakukatwa kinena kweli!!?hatosheki kwa mihogo
View attachment 910355
Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni
Wema Sepetu ambae ni Msanii wa filamu nchini Tanzania,amewaomba radhi Watanzania pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kuhusu tukio la kusambaa kwa video yake ya faragha mtandaoni.
Wema Sepetu akiongea na Waandishi wa Habari leo jijini Dar Es Salaam, amesema kuwa amewakera Watanzania na mashabiki wake lakini hilo halitatokea tena.
Hii ni mara kama ya tatu anaomba msamahaKafunga jalada la ujinga?[emoji2][emoji2][emoji2] hamna kitu.
Tusubiri next season next year, hii ni season finale tu.
Hata mimi hajanikosea kabisaMie wala hajanikosea, hanijui simjui. Kuombana msamaha ya nini sasa?
Well said walahiAnapost video anakulana denda ananyonywa na lijamaa mpaka mdomo unavimba afu eti anaomba radhi, kahaba mkubwa