Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Waandishi Wa Habari Wa Tanzania Ni Tatizo
Mnawezaje Kuitikia Wito Wa Huyo Mtu Anayejitia Aibu Kwa Kishindo Halafu Jamii Yake Wala Haijashtuka


Mjifunze Kuchagua
Mnapoitwa Na Kuitikia Wito
Huyo Dada Ni Wa Kupuuza
Utashangaa Kesho Eti Hii Nayo Itakuwa
Front Page


Wema Ni Wa Kupuuzwa
Ndiyo Alikuwa Kwenye" Mama Ongea Na Mwanao Campaign "
 
Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.

‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’

Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’

====

"Naomba radhi ndugu zangu, jamaa na marafiki na wote waliokuwa wakinisapoti kwa moyo mmoja, mama yangu mzazi ambaye alikuwa anaumia zaidi, hakuna marefu yasiyo na ncha, nimefunga jalada la utoto, nimefunga jalada la ujinga, naomba radhi kwa haya yaliyotokea

Ninaomba radhi kwa Serikali yangu kupitia TCRA, nitakuwa binadamu wa ajabu sana iwapo nitasema sijaguswa, nimejikuta kwa mara ya kwanza nimejali, tangu jana mpaka sasa siko sawa. Ni kweli nimeudhi wengi, nimekosea na siwezi kumlaumu yeyote

Leo nasema kwa mdomo wangu nafunga jalada la utoto, ujinga, upuuzi na kila aina ya maumivu niliyosababisha kwa wtu wangu, naomba radhi kwa hili lililotokea na, namuomba Mungu aniongoze katika maisha yangu mapya kwa kuwa ndiye muweza wa yote, ASANTE.

Na hicho kifua ndio kutuonyesha nini? Vaa vizuri unapotaka kufanya mambo yenye akili!! acha kutania utu uzima wewe!
 
Waandishi Wa Habari Wa Tanzania Ni Tatizo
Mnawezaje Kuitikia Wito Wa Huyo Mtu Anayejitia Aibu Kwa Kishindo Halafu Jamii Yake Wala Haijashtuka


Mjifunze Kuchagua
Mnapoitwa Na Kuitikia Wito
Huyo Dada Ni Wa Kupuuza
Utashangaa Kesho Eti Hii Nayo Itakuwa
Front Page


Wema Ni Wa Kupuuzwa
Ndiyo Alikuwa Kwenye" Mama Ongea Na Mwanao Campaign "
Waandishi wamepigwa bahasha za kaki
 
Waandishi wamepigwa bahasha za kaki
Waandishi Njaa Na Kututia Aibu
Alifanya Kwa Makusudi Tulitegemea Hatua Kali Sana Dhidi Yake Siyo Atuletee Ngonjera



Yaani Bahasha Na Kesho Badala Wampuuze Wema Habari Zake Zitakuwa
Front Page
 
CCM aitakaa itoke madarakani kama kuna wajinga waandishi wa habari walioenda kwa Wema sepetu na vituo vya radio Ujinga na upumbavu na watanzania ni damudamu
 
Back
Top Bottom