Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.

‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’

Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’

====

"Naomba radhi ndugu zangu, jamaa na marafiki na wote waliokuwa wakinisapoti kwa moyo mmoja, mama yangu mzazi ambaye alikuwa anaumia zaidi, hakuna marefu yasiyo na ncha, nimefunga jalada la utoto, nimefunga jalada la ujinga, naomba radhi kwa haya yaliyotokea

Ninaomba radhi kwa Serikali yangu kupitia TCRA, nitakuwa binadamu wa ajabu sana iwapo nitasema sijaguswa, nimejikuta kwa mara ya kwanza nimejali, tangu jana mpaka sasa siko sawa. Ni kweli nimeudhi wengi, nimekosea na siwezi kumlaumu yeyote

Leo nasema kwa mdomo wangu nafunga jalada la utoto, ujinga, upuuzi na kila aina ya maumivu niliyosababisha kwa wtu wangu, naomba radhi kwa hili lililotokea na, namuomba Mungu aniongoze katika maisha yangu mapya kwa kuwa ndiye muweza wa yote, ASANTE.
Wema that's too fake, too childish and a lot of stupidity within it.. Unapenda kiki n you don't care how you get it... Leo umekuwa ndio mada mitandaoni na umejitokeza kwenye press conference kuomba radhi.. Hapo umejisikia vizuri sana.... But think again about your future.. Matukio huacha kumbukumbu... Matukio hayafi... Ipo siku utayajutia haya maisha
 
Hivi hawa watangazaji mbona wanajidhalilisha hivi
Press conference kwa ajili ya upuuzi wake
Mungu amsamehe kwa kweli ila na hawa watu wajitathmini na mambo wanayoyafanya
Yaani yeyote anaefanya upuuzi anawaita na nyie mbio
 
Wema that's too fake, too childish and a lot of stupidity within it.. Unapenda kiki n you don't care how you get it... Leo umekuwa ndio mada mitandaoni na umejitokeza kwenye press conference kuomba radhi.. Hapo umejisikia vizuri sana.... But think again about your future.. Matukio huacha kumbukumbu... Matukio hayafi... Ipo siku utayajutia haya maisha
Watu wa aina yake Mara nyingi huishia kujiua tuu.
Ukifika mahali unatamani wakukutia na kila mtu hana hamu juu yako ndio atanielewa nasema nini.
Mshana shida kubwa ni mama yake, najiuliza Balozi (marehemu) alipendea nini enzi hizo hapo? Kukosa maadili hakuji uzeeni bali ni mchakato. Au Mzee Ibra alikula ooo?
 
Watu wa aina yake Mara nyingi huishia kujiua tuu.
Ukifika mahali unatamani wakukutia na kila mtu hana hamu juu yako ndio atanielewa nasema nini.
Mshana shida kubwa ni mama yake, najiuliza Balozi (marehemu) alipendea nini enzi hizo hapo? Kukosa maadili hakuji uzeeni bali ni mchakato. Au Mzee Ibra alikula ooo?
Mimba za bahati mbaya na malezi ya upande mmoja pia vinaweza kuchangia sana
 
Dunia inafurahisha sana, Eti Wema naye anaita press Conference naona anataka kututambulisha kwa Danga lake jipya..
hahahaha kwani nani anatakiwa kuwaita wana habari? hahahaha Zitto angeitisha asingepata mtu hapo hahaha
Nampongeza Wema kwa kuomba radhi
 
Maskini dada wa watu! Pole Wema watakusamehe.
 
Back
Top Bottom