Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ukahaba
Kuna tuhuma gani zinamkabili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tuhuma gani zinamkabili
So kuomba radhi kunafuta makosa?ameshaomba radhi
Naona nao wako busy kuiangalia mpaka wamalize kisha waridhike ndio watakuja mbele ya mikeVideo clip inayooendelea kusambaa ikimwonesha Sepede akifanya yake ina takribani wiki ila baraza la sanaa lipo kimya mpaka sasa. Kwa kumbu kumbu za haraka haraka ilipotokea issue ya nandy na billnas hawa jamaa fasta waliwaaita. Vp kunani kwa sepenga.
Kwa nani na kwa nini?ameshaomba radhi
Mwenzangu[emoji57]Kila siku anaomba radhi yeye tu
View attachment 910355
Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni
Wema Sepetu ambae ni Msanii wa filamu nchini Tanzania,amewaomba radhi Watanzania pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kuhusu tukio la kusambaa kwa video yake ya faragha mtandaoni.
Wema Sepetu akiongea na Waandishi wa Habari leo jijini Dar Es Salaam, amesema kuwa amewakera Watanzania na mashabiki wake lakini hilo halitatokea tena.
Lakini waandishi wa hapa home kwenye issue za maana hawajazani, lakini udaku ohhhMambo mengine mnachosha Server za JF tu? why is this even here?
Tupeni updates
😂😂😂🤣Anataka kuongea nn huyu kahaba? Ameona hafuatiliwi anataka ajiboost