Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Kwani shonza yupo siku hizi?! Maana hasikiki, yeye angeshachukua hatua za kumwita kumuadhibu mbele ya kamera za waandishi wa habari.
 
Mimi hapa niko kitengo cha basata sijaiona hiyo video ebu itume hiyo video niangalia kama imekiuka maadili niifungie
 
Siku hizi kuitisha press conference imekua kawaida sana bongo dah
 
Hivi waandishi hawana kazi, mtu anapost video akiliwa denda live bila chenga ustaarabu ziro
 
Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.

‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’

Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’

Iyo clip iko wapi?
 
Waandishi wa habari na vyombo wasingekwenda kwa Wema nafikiri akili ndio zingemuota huyu dada.
Ni bora umiliki MBUZI KULIKO KUMUOA HUYU MDADA WEMA
 
Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.

‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’

Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’



Mbona kazeeka hivyo.
Sasa anaomba radhi wakati aliamua kutuonyesha kuwa kunamtu kanaswa?
 
Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.

‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’

Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’


TCRA kwani wana meno siku hizi? angekuwa bado yupo CHADEMA leo ndio mgeelewa kama TCRA wanakubali upuuzi huo kwani hakuna asiyejua kuwa jambo hilo kwamba WM kalifanya makusudi na imekuwa ni stahili yao wanapokuwa wanatafuta kick...najua katumwa na *COCA ZERO" akaombe msamaha...
 
Back
Top Bottom