Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Kwani wakati anapost hakujua kama ni ujinga...

Mambo mengine ni kupindisha upepo...

Watu wapo kwenye sakata la tajiri mkubwa barani Africa kufanyiwa ndivyo sivyo, yeye anakuja na cheap popularity...


Cc: mahondaw
 
Vp anataka fungua Kiwanda!
Alafu % kubwa ya waandishi wakatao kuwa hpo kichwani ni 0!

Ova
 
mdomo wa wema bila makeup ni mweusi sana hizi ni dalili za bange?? makeup zinaficha mengi jamani......uyu ndo wema halisi sasa.....kibibi kizee
 
Uyu dem namfananishaga na hoho ...sijui kwa nn tu[ATTACH
 

Attachments

  • IMG_20181025_144928_763.JPG
    IMG_20181025_144928_763.JPG
    25.9 KB · Views: 38
  • IMG_20181025_144928_763.JPG
    IMG_20181025_144928_763.JPG
    25.9 KB · Views: 36
  • IMG_20181025_144928_763.JPG
    IMG_20181025_144928_763.JPG
    25.9 KB · Views: 41
Mpumbavu sana...

Hawa wanaojiita masta sijui wanarogwa na mdudu gani
 
Mwanzoni huyu mrembo nilidhani kuwa alikuwa anasingiziwa mambo mengi ya kashfa lakini baadaye nikagundua kuwa hana class. Kupenda kwake kuwa adored kumeshusha hadhi yake bila ya yeye kutambua kwa sababu huko kuomba radhi kwake hii siyo mara ya kwanza. Aendelee kusafisha macho ya waja.
She is attention whore.. ndio shida yake. Anything for attention. Halaf hana background nzuri huyu ni kapu la sadaka kila mtu anatia mikono
 
Kwa hyo tumsaidie nn sasa aishi maisha yake wala hamna mtanzania anae muwaza sana kama anavyihisi yy kila MTU anapamban kivyake watot waende chooni
 
Maandiko yanasema samehe 7*70 hivyo hana budi kusamehewe maana yeye binafsi amekiri kujutia hasa kwa kile kilichotokea

Huenda huu ukawa mwanzo mwema kwake apewe nafasi nyingine badala ya kumhukumu maana sote tu wakosaji kumkejeli na kumsema vibaya ni kumuongezea msongo ambao siyo mzuri kwa hali anayopitia.

Bwana ampe tumaini wakati huu anapopitia shutuma kali na pia amsaidie kumbadilisha na kumfanya kuwa mpya.
 
She is attention whore.. ndio shida yake. Anything for attention. Halaf hana background nzuri huyu ni kapu la sadaka kila mtu anatia mikono
Hivi haya mambo anayofanya binti huyu ingekuwa baba yake mzazi yu-hai sijui angejisiaje? maana alikuwa mtu mkimya, muadilifu na mcha-mungu.
Kweli kuzaa siyo kupata
 
Watanzani tunamijitu mingi sana isiyojitambua!inafanya uchafu ikitegemea kuomba msamaha...halikujua lilichokifanya ilikuwa ukosefu wa maadili wa kiwango cha juu!halafu eti mtalisamehe...mimi sitalisamehe...na mianaume mingine bora ingezaliwa mianamke tu
 
Back
Top Bottom