Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.
‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’
Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’
Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.
‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’
Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’
Anapost video anakulana denda ananyonywa na lijamaa mpaka mdomo unavimba afu eti anaomba radhi, kahaba mkubwa
Natuma mda c mrefuMkuu tuwekee basi nasisi huku JF tufaidi kidogo maana yeye mwenyewe si ndio kapiga ili tuangalie saidia kusambaza mkuu ili apate viewer's wengi kule yu-tyubu.
Labda anahama chamaView attachment 910355
Muda mfupi ujao@wema_sepetu atazungumza na waandishi wa habari kuhusu tuhuma tofauti zinazomkabili, tutakuwa live kupitia ukurasa wetu wa Facebook wa EATV, https://www.facebook.com/eatv.tv/