Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Ah ah ah wanaosoma journalism ..siongezi neno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu demu amekua na miaka 30 kwa muda wa miaka ishirini, nadhani amevunja rekodi ya dunia kubakia kwenye umri mmoja kwa kipindi kirefu
 
Miaka yote nilikuwa namuhukumu sana katika kila alilolifanya baada ya kuja kugundua kwamba ndo kwanza katimiza miaka 30, basi nimemsamehe kwa yote, I mean hata mimi nilipokuwa 20’s nilikua kichaa pia, na sikuwa maarufu wala mambo yangu kuandikwa popote, hivyo ni sawa na aliishi kulingana na umri wake nina Imani sasa atakuwa tofauti kabisa kwenda mbele.

Kumbe alikuwa ni kinda kabisa, duh!

Sijuwi nimechelewa wapi kukufamu nahisi ningekuwa mmoja kati ya walio kifungua kipochi manyoya chako.
 
Miaka yote nilikuwa namuhukumu sana katika kila alilolifanya baada ya kuja kugundua kwamba ndo kwanza katimiza miaka 30, basi nimemsamehe kwa yote, I mean hata mimi nilipokuwa 20’s nilikua kichaa pia, na sikuwa maarufu wala mambo yangu kuandikwa popote, hivyo ni sawa na aliishi kulingana na umri wake nina Imani sasa atakuwa tofauti kabisa kwenda mbele.

Kumbe alikuwa ni kinda kabisa, duh!
Daaa nani ameturoga? Yaani 20s unajiona mtoto kwa hiyo unaona sawa wema kufanya anayofanya.wakati 20s wenzetu wazungu wanawaza kugundua vitu vya maana,halafu wewe at 20s unawaza kugundua staili za kugegedana.
 
Huyu demu amekua na miaka 30 kwa muda wa miaka ishirini, nadhani amevunja rekodi ya dunia kubakia kwenye umri mmoja kwa kipindi kirefu


Hivi mtu kama huyo anawezaje kudanganya umri wake? Huyu amekuwa Miss TZ nafikiri hivyo kila kitu kipo wazi!
 
Malaya ni malaya tu clip atume mwenyewe halafu aombe msamaha mwenyewe,ccm woyeee
 
Daaa nani ameturoga? Yaani 20s unajiona mtoto kwa hiyo unaona sawa wema kufanya anayofanya.wakati 20s wenzetu wazungu wanawaza kugundua vitu vya maana,halafu wewe at 20s unawaza kugundua staili za kugegedana.


Inategemea na maisha uliokulia na wapi, kijijini miaka 20 tayari mama na ana familia, town 20 hajitambui vizuri bado, tunao wengi tu kitaa.
 
Hivi mtu kama huyo anawezaje kudanganya umri wake? Huyu amekuwa Miss TZ nafikiri hivyo kila kitu kipo wazi!
Mkuu wewe ni mgeni Tanzania? hao wanaogombea miss Tanzania, wengine wameolewa wakaachika achilia mbali umri
 
Back
Top Bottom