Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Wema Sepetu akiri kosa aomba radhi kwa Watanzania kuhusu video yake chafu iliyosambaa mitandaoni

Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.

‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’

Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’

====

"Naomba radhi ndugu zangu, jamaa na marafiki na wote waliokuwa wakinisapoti kwa moyo mmoja, mama yangu mzazi ambaye alikuwa anaumia zaidi, hakuna marefu yasiyo na ncha, nimefunga jalada la utoto, nimefunga jalada la ujinga, naomba radhi kwa haya yaliyotokea

Ninaomba radhi kwa Serikali yangu kupitia TCRA, nitakuwa binadamu wa ajabu sana iwapo nitasema sijaguswa, nimejikuta kwa mara ya kwanza nimejali, tangu jana mpaka sasa siko sawa. Ni kweli nimeudhi wengi, nimekosea na siwezi kumlaumu yeyote

Leo nasema kwa mdomo wangu nafunga jalada la utoto, ujinga, upuuzi na kila aina ya maumivu niliyosababisha kwa wtu wangu, naomba radhi kwa hili lililotokea na, namuomba Mungu aniongoze katika maisha yangu mapya kwa kuwa ndiye muweza wa yote, ASANTE.


Pongezi zangu za dhati ya moyo wangu na na lazima niwe mkweli nampongeza sana alimuandalia hiyo "speech". Poor Wema sijui huu ndio mwanzo wa mwisho au mwanzo wa mwanzo mwingine time will tell us..
 
...jina lake zurii...WEMA....ila matendooooo

"wema wake ulimponza hadi akatuonesha hadharaniii ajjiandaavyo kupewa DYUDYUUUUeeee"
 
Mbona alipoanika makalio yake makubwa wazi hakuomba radhi? Anajishtukia?
 
Sijasikia akiwaomba samahani viongozi waandamizi wa chama chake!!
 
Nimedokezwa mahala kuwa leo ' Madam Miguu Fito ' a.k.a Wema Sepetu ameongea na Watanzania ( Kasoro GENTAMYCINE ) hivyo naomba tu kujua ya kwamba waliokuwa wakimsikiliza walikuwa ni Waandishi wa Habari au Wapashkuna wa Habari?

Nawasilisha.
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.Mungu wasaidie mabinti zetu na kuwalinda na huu utandawazi.Amen.Pole Wema ila sasa ukue uwe na Maisha ya staha mdogo wangu vipo vingi vya kufanya.
 
Nimedokezwa mahala kuwa leo ' Madam Miguu Fito ' a.k.a Wema Sepetu ameongea na Watanzania ( Kasoro GENTAMYCINE ) hivyo naomba tu kujua ya kwamba waliokuwa wakimsikiliza walikuwa ni Waandishi wa Habari au Wapashkuna wa Habari?

Nawasilisha.
Waliokuwa wanamsikiiza nao ni mapashkuna kama yeye mkuu usipate tabu
 
!
!
Lakini Kosa Gani Sasa. Sioni Kama Kuna Kosa. Vile Ndivyo Alivyo Ndio Tabia Yake Sema Tulikuwa Hatumuoni
 
Huyu dada nahisi akili zake haziko sawa..........nafikiria huko kuomba radhi hakutoki moyoni bali ana hofia Basata na Tcra.
Naona ma dada wa kibongo maarufu wame amua kuji dharirisha kuna yule mwingine Amber karekodiwa akiliwa ndogo.
 
Hakuna anayejali mbn hata akirusha video analima marinda poa tu

Ova
 
Hivi unajitekenya mwenyewe alafu unacheka kweli
 
Back
Top Bottom