Mwanzoni huyu mrembo nilidhani kuwa alikuwa anasingiziwa mambo mengi ya kashfa lakini baadaye nikagundua kuwa hana class. Kupenda kwake kuwa adored kumeshusha hadhi yake bila ya yeye kutambua kwa sababu huko kuomba radhi kwake hii siyo mara ya kwanza. Aendelee kusafisha macho ya waja.Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.
‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’
Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’
https://www.facebook.com/video.php?v=259659421410291
Vyombo vyetu vya habari navyo ni shida..Ujinga ujinga ndio unashadadiwaAmeomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.
‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’
Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’
https://www.facebook.com/video.php?v=259659421410291
Anapost video anakulana denda ananyonywa na lijamaa mpaka mdomo unavimba afu eti anaomba radhi, kahaba mkubwa
Natuma mda c mrefuMkuu tuwekee basi nasisi huku JF tufaidi kidogo maana yeye mwenyewe si ndio kapiga ili tuangalie saidia kusambaza mkuu ili apate viewer's wengi kule yu-tyubu.
Labda anahama chamaView attachment 910355
Muda mfupi ujao@wema_sepetu atazungumza na waandishi wa habari kuhusu tuhuma tofauti zinazomkabili, tutakuwa live kupitia ukurasa wetu wa Facebook wa EATV, https://www.facebook.com/eatv.tv/