Wema Sepetu akutwa na hatia ya kukutwa na Madawa ya kulevya! Alipa faini na kuachiwa huru

Huyu martin kadinda anaweka nini wema. Maana si mchezo hiyo kufuli ya mikono
 
Hata akifungwa kesho yake atatoka kwa msamaha wa nanihii. Maana yeye hataki wasanii wakae jela wanakula sana na kutia hasara serikali yake.
 
tuliambiwa sheria za kupambana na madawa ya kulevya zimekuwa Kali kumbe hamna kitu !!!! kwa wenye mifedha watapeta tu!!! kwa style hii wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya kamwe hawato acha
 
Heading:...... Miaka miwili,Content........ Mwaka mmoja.Epukeni upotoshaji wa makusudi.
 
Ni kweli wakikosa kuvuta bangi, kuwa mateja basi wanakuwa MASHOGA,au VYOTE KWA PAMOJA, MUNGU APISHIE MBALI, yote inatokana na kuiga mambo ya wazungu
 
Mwana ccm huyo hii sheria ingakuwa inatumika hadi kwa wakina chid benz tungepunguza mateja mitaani.
 
ila wajamaica wakijua kuna watu wanafungwa kwa ajili ya marijuana.watafungua kesi mahakama za juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…