Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu nlikutana naye alupokuja polandKawaida tu mkuu ila bado mbichi sema position ya camera tu.
Yaan alijua kumuweza last born wa Taifaa kwa kweli, hadi hurumaaHakuna mtu mchawi Kama mtu aliyemwambia Wema ajikondeshe.
Hahahaaa! uzee siku hizi watu wanaita tu,unakuta mtu ana miaka 39 au 40,anaitwa mzee,ila akimuona Zitto Kabwe au Nape na January anawaita vijana.Nadhani watu wengi he kwasasa hawajui kutofautisha kijana,mtu mzima au mbaba na mzee.Kabisa mkuu, tuombe mwisho mwema kwani ikiwa mwenyezi MUNGU atakujalia mwisho mwema lazima utazeeka tu hapa nilipo Kuna baadhi ya vijana wananiita Mzee,huwa nashtuka, lakini nikilinganisha na umri wangu basi Wana haki
Huyu nlikutana naye alupokuja poland
Alukuja shiriki miss world,alikuwa mmbichi
Kuna mwana alikuwwpo kule anaitwa adili alimkatia akam
Huyu alikuw hajui kukata haha
Ova
Tangia hapo hajui kukataa wemaHuyu nlikutana naye alupokuja poland
Alukuja shiriki miss world,alikuwa mmbichi
Kuna mwana alikuwwpo kule anaitwa adili alimkatia akam
Huyu alikuw hajui kukata haha
Ova
Uzee ni baraka!Kuna watu hawajapata nafasi ya kuzeeka they are forever young in heaven.......licha ya kuwa wengi tunapenda kuishi miaka mingi lakini deep down tunauchukia uzee, uzee ukizidi ni ugonjwa, lakini pia uzee maana yake ni kuacha mazuri mengi ya ujanani, so ni masikitiko, tusiwaseme watu wenye umri mkubwa au wanaoelekea uzeeni, inaumiza kiasi fulani kuuaga ujana, na zaidi ya yote wote tutazeeka na kufariki, kama huyo Wema akipita hapa hatuwezi kujisikia vizuri kwakweli, tujali hisia za wenzetu.......huwa najisikia vibaya nikiona picha za sasa za Celine Dion daa!!.........
Sijaelewa mrangi anamaanisha Nini,hajui kukata kiuno au hajui kukataa?Tangia hapo hajui kukataa wema
Wanyaturu hawawezagi kusema No
Ndo kazeeka sasaHakuna ambaye hatazeeka
Ana ubichi gani kashakua bibiKawaida tu mkuu ila bado mbichi sema position ya camera tu.