desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Camera nini huyu wema sahizi ana miaka 45Bado Kinanda mkuu huyo,camera tu imezingua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Camera nini huyu wema sahizi ana miaka 45Bado Kinanda mkuu huyo,camera tu imezingua.
Ukikataliwa na demu wa kinyaturu na kirangi inabidi ukaoge chumviHuyu nlikutana naye alupokuja poland
Alukuja shiriki miss world,alikuwa mmbichi
Kuna mwana alikuwwpo kule anaitwa adili alimkatia akam
Huyu alikuw hajui kukata haha
Ova
Muulize Wema au mwanamke yeyote kama wewe Mwanaume umeoa muulize mkeo akwambie kama hujaoa una girl friend au unatarajia kuoa muulize msichana yeyote kuwa eti nyie mwanaume.wa maana kwenu vigezo ni vipi? Kama huna wote hao muulize mama mzazi aliyekuzaa yeye akisikia Mwanaume wa maana sifa zake zipi
Nakuhakikishia mama mzazi atatema cheche za kufa mtu za kueleweka bila chenga
Kwani Wema akiamua kunenepa Kama mwanzo haiwezekani!!??Hakuna mtu mchawi Kama mtu aliyemwambia Wema ajikondeshe.
Sio lazima, kuna wengine watakufa wakiwa Watoto wadogo though,She isn't a Vampire...every human being lazima azeeke
Whatever,Ila kuongelea mtu kwa mshangao kisa kazeeka ni upuuziSio lazima, kuna wengine watakufa wakiwa Watoto wadogo though,
Whozu kaongea juzi kadai wema anapenda kufanya mapenzi sana kila mda anataka kituTangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.
Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.
Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378
hata wewe ulikuwa mtoto, utakuwa mvuana, mwaume na baadae utaitwa mzee!Tangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.
Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.
Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378
ITangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.
Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.
Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378
Hahaha Mbooko za kutoshaIla kama stori za kudeti na watu mbalimbali ni za kweli,basi huyu dada kachezea kwelikweli huku akiwa sambamba na bongo muvi,kachezea kwelikweli yaani kwelikweli.
Umemkagua?Acheni umbea watoto wakiume. Uzee upo tu mtoto bado mbichi huyu.
Nimkague mara ngapi?Umemkagua?