Wema Sepetu ameanza kuzeeka sasa!!

Hahaha Mbooko za kutosha
Yaani ukisikia kuzitumia sehemu effectively,Wema kachezesha,kachezesha kweli.Mechi za ndondo hajacheza kivile,kaingia mjini bado mbichi,akaanza kukitembeza,yaani kachapika kwelikweli,hana deni hapa duniani kwakweli,alikosa kizazi tu,ila kiungo,kakichezesha,ukute hivi ninavyoandika anachezea pamoja na akina dada wengine wa Bongo movie pia.
 
A
Aisee
 
Hakuna anaependa uzee ila uzee lazima uje na unakuja taratibu
Mimi mwenyewe nilistuka naanza kusalimiwa shikamoo na kila mtoto nikasema tayali naonekana mtu mzima🤣🤣
 
Dunia ya leo ni Mtanzania gani anauogopa uzee?hiyo 50 tu inatafutwa kwa torch ije kuwa 70/80.

Mimi huwa natamani kuufikia huo umri wala siombi uchelewe,niwaone wanangu wanajiendeshaje maisha yao na Mungu akipenda niwaone wajukuu zangu,hakuna cha kuogopa muhimu iandae kesho yako leo kwa kipato pia jamii yako ipe elimu kingine ishi na watu vizuri hutauchukia uzee.
 
bro hapo anakula jina tu.!
 
Wee mwenyewe utazeeka tu

Uzeehaukwepeki

Ova
 
Huyu alijimaliza moja kwa moja alipotuondoshea ule MZigo, Mimi toka kipindi kile nilim delete moja kwa moja kwenye mazingira yangu.
 
Hakuna mtu mchawi Kama mtu aliyemwambia Wema ajikondeshe.
Me kipindi kile anasteki na minofu nilikuwa nikimuona nadinda balaa. Natamani nikutane nae hata kiwanja fulani hivi nimtaiti tupeane gemu. Ila dah
Sasa hivi amejikausha amekuwa kama mti wa dawa sina hata stimu nae tena.
 
Me kipindi kile anasteki na minofu nilikuwa nikimuona nadinda balaa. Natamani nikutane nae hata kiwanja fulani hivi nimtaiti tupeane gemu. Ila dah
Sasa hivi amejikausha amekuwa kama mti wa dawa sina hata stimu nae tena.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mti wa dawa.
 
Mmmmmmhmn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…