Wema Sepetu amepatwa na nini?

Wema Sepetu amepatwa na nini?

Huyo ni muongo wa mwisho,, aliamua kukata utumbo ili apunguwe unene,,abalance figure yake,,
Kama ni case ya unene na kuwa mgumbao,, kuna wanawake wangapi wanene Mara 40 ya wema sepetu na kila siku tunawazalisha mapacha,,
Yeye amebugi kukata utumbo,,
Case closed..
With the internet comes a lot of information, but you can decide whether you will hear it from the source or from a third-party.
Jaribu sikiliza interview alifanyiwa nadhani last week na wakina gea alieleza kila kitu.
 
Aje huku shambani akila nyama choma ya kondoo mwezi mmoja kibonge tu kama kawaida
 
Kati ya watu ambao hata huwa siwaelewi ni huyu dada ila basi tu.
 
Ngoma inahusika hapo,

Sio kwa kuchakatwa kule.

Kuanzia kwa celebrities wa fleva mpaka kwenye muvi.

kanumba,mond,Idris,Clement, kusah, na takataka nyingine za kitaa zimepita hapo.

Hapo hujaweka waheshimiwa wa mjengoni kule HQ.

Waheshimiwa watatu wale wa bandali walotifuana ofsini baada ya kugundua wote wachakata Dem mmoja.

Bado wale waarabu wa K'koo walombadili mpaka Dini.

Aisee, KWA peak alokua amefikia,
Sitak kuamin wote walkumbuka kutumia ndom

Wala kuamin wote walomchakata kavu kavu walikuasalama.

KWA mwili ule, Asitafute kisingizio.
Pale 90% umeme unahusika, Hata ARV nazo huwa Zinachoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom