Wema Sepetu amrudia Mungu

Wema Sepetu amrudia Mungu

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Muigizaji wa Tanzania, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha na kwamba anafanya dua na kumtegemea Mungu katika mambo yote.
274688792_240299191644565_3514749976337035402_n.jpg

Hii ndiyo kauli yake: “Mimi ni binti wa Kiislamu nafanya sana dua. Watu wanamuona Wema wa mtandaoni lakini binadamu tunakuwa na tunajifunza, tunaoamini katika Mungu, Mungu hukupa kwa wakati wake na wakati ambapo hakunipa aliwapa wengine, riziki inaenda kwa mzunguko.”
 
Tatizo hawa mabinti huwa wanadhani hawatazeeka. Na pia binti wa kiislam na nywele zipo hivyo Hana hata lemba na mamichoro yote mwilini Ile bado haiswihi
 
Back
Top Bottom