Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajitia kumrudia mungu halafu hapiti katika njia ambazo mungu kaziweka, huuni UNAFIKI.Mwambie avae hijab au nikab hapo??!!povu atakalotoa balaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi sio muislam ila nawachekaga sana watu kama huyu coz utamaduni wake ni kuvaa hijab [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
kweli kwisha kupo jaman! wema huyu huyu aliyekuwa anaupigia chepuo u freemanson kwenye page zake za insta leo hii kaamua kumrudia mungu?Muigizaji wa Tanzania, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha na kwamba anafanya dua na kumtegemea Mungu katika mambo yote.
View attachment 2132592
Hii ndiyo kauli yake: “Mimi ni binti wa Kiislamu nafanya sana dua. Watu wanamuona Wema wa mtandaoni lakini binadamu tunakuwa na tunajifunza, tunaoamini katika Mungu, Mungu hukupa kwa wakati wake na wakati ambapo hakunipa aliwapa wengine, riziki inaenda kwa mzunguko.”
Ufreemason? Jamani nyie kweli?kweli kwisha kupo jaman! wema huyu huyu aliyekuwa anaupigia chepuo u freemanson kwenye page zake za insta leo hii kaamua kumrudia mungu?
Alikua anatangaza matangazo ya “jiunge na 666” kudadeqUfreemason? Jamani nyie kweli?
ingia kwenye page zake za insta uone.....pale ndio nikajua kweli Wema kwishneyUfreemason? Jamani nyie kweli?
Una umri gani? yaani hujui thamani ya tako?Hiyo picha kawa mrembo balaa, siyo kama zamani alikuwa na makalio makubwaaa wala hakuvutia, sasa hivi kakonda kawa kitu si mchezo!
itakua walimhuck bhanaAlikua anatangaza matangazo ya “jiunge na 666” kudadeq
Wakiishiwa wanamrudia Mungu.Muigizaji wa Tanzania, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha na kwamba anafanya dua na kumtegemea Mungu katika mambo yote.
View attachment 2132592
Hii ndiyo kauli yake: “Mimi ni binti wa Kiislamu nafanya sana dua. Watu wanamuona Wema wa mtandaoni lakini binadamu tunakuwa na tunajifunza, tunaoamini katika Mungu, Mungu hukupa kwa wakati wake na wakati ambapo hakunipa aliwapa wengine, riziki inaenda kwa mzunguko.”
Mwambie avae hijab au nikab hapo??!!povu atakalotoa balaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi sio muislam ila nawachekaga sana watu kama huyu coz utamaduni wake ni kuvaa hijab [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Una umri gani? yaani hujui thamani ya tako?
Ungejua sasa huyo unayemuhurumia yupo salama kuliko wewe unayeacha ngozi yako ichomeke kwa jua kali, hujui mionzi ya jua inavyoharibu ngozi na wengine hadi kupelekea Kansa???Hijab sio utamaduni wa waislam ni waarabu
Wanawake wa kiarabu huvaa hijabu na nikabu na wanaume vitambaa kujikinga na vumbi jangwani huko
Kiasili mashariki ya kati ni jangwa hivyo hayo mavazi yaliwasaidia kujikinga na vumbi na upepo mkali
Ila waafrika wakachukua km ilivyo unakuta dar jua kali mtu amejificha uso na manguo hadi unamhurumia
Hata house girl wangu ana nafuu kwa huyu bibiKawa Kama house girl
[emoji1787][emoji1787] umenichekesha hapo uliposema ni ugonjwa!Binafsi sipendelei Mwanamke mwenye makalio yaliotuna na kupitiliza huko nyuma, napenda ya kawaida sana nayoweza kuyashika na kuyachezea na siyo yaliyovimba, huwa naona kama ni ugonjwa.
Sababu hawavai chupi na huwezi kujua kuwa hawajavaa,upepo unaingia th mweeeUngejua sasa huyo unayemuhurumia yupo salama kuliko wewe unayeacha ngozi yako ichomeke kwa jua kali, hujui mionzi ya jua inavyoharibu ngozi na wengine hadi kupelekea Kansa???
Na kama unadhani yule anayejifunika anafukutwa kwa joto umepotea hakuna watu wanaopata kipupwe cha asili kama wavaa baibui na majuba.
Utamaduni wa waarabu mmeureta afrika..huku jua kali..unakuta mmama kavaa yale majuba meusi jua kali la k.koo anazunguka nalo..eti dini ya mtume kama sio utumwa waakili sijui ni upumbavu gani.Mwambie avae hijab au nikab hapo??!!povu atakalotoa balaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi sio muislam ila nawachekaga sana watu kama huyu coz utamaduni wake ni kuvaa hijab [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]