Wema Sepetu amrudia Mungu

Wema Sepetu amrudia Mungu

Ungejua sasa huyo unayemuhurumia yupo salama kuliko wewe unayeacha ngozi yako ichomeke kwa jua kali, hujui mionzi ya jua inavyoharibu ngozi na wengine hadi kupelekea Kansa???

Na kama unadhani yule anayejifunika anafukutwa kwa joto umepotea hakuna watu wanaopata kipupwe cha asili kama wavaa baibui na majuba.
Ngozi inatakata yenyew kwa lile joto plus hakuna kuchomwa na jua.
Mimi huwa navaa soksi siku nzima kutokana na kazi ninayoifanya ili miguu isiharibike.Imekuwa mizuri hiyo mpka natamani ingejuwa ndio uso unaonekana hivyo.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hijab sio utamaduni wa waislam ni waarabu

Wanawake wa kiarabu huvaa hijabu na nikabu na wanaume vitambaa kujikinga na vumbi jangwani huko

Kiasili mashariki ya kati ni jangwa hivyo hayo mavazi yaliwasaidia kujikinga na vumbi na upepo mkali

Ila waafrika wakachukua km ilivyo unakuta dar jua kali mtu amejificha uso na manguo hadi unamhurumia
Hijab ni Sharia katika Uislam. Hayo unayoyasema ni maoni yako binafsi. Waislam wanaifuata Dini yao.
 
Ungejua sasa huyo unayemuhurumia yupo salama kuliko wewe unayeacha ngozi yako ichomeke kwa jua kali, hujui mionzi ya jua inavyoharibu ngozi na wengine hadi kupelekea Kansa???

Na kama unadhani yule anayejifunika anafukutwa kwa joto umepotea hakuna watu wanaopata kipupwe cha asili kama wavaa baibui na majuba.
Kama ww ni mwarabu sawa ila ngozi ya mwafrika inahitaji jua zaidi
 
Muigizaji wa Tanzania, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha na kwamba anafanya dua na kumtegemea Mungu katika mambo yote.
View attachment 2132592
Hii ndiyo kauli yake: “Mimi ni binti wa Kiislamu nafanya sana dua. Watu wanamuona Wema wa mtandaoni lakini binadamu tunakuwa na tunajifunza, tunaoamini katika Mungu, Mungu hukupa kwa wakati wake na wakati ambapo hakunipa aliwapa wengine, riziki inaenda kwa mzunguko.”
Huyu si ndiye alihamia Chadema baada ya mambo yake kutokwenda sawa na Serikali, [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa anamrudia vip Mungu baada ya kufirisika?
 
Hijab sio utamaduni wa waislam ni waarabu

Wanawake wa kiarabu huvaa hijabu na nikabu na wanaume vitambaa kujikinga na vumbi jangwani huko

Kiasili mashariki ya kati ni jangwa hivyo hayo mavazi yaliwasaidia kujikinga na vumbi na upepo mkali

Ila waafrika wakachukua km ilivyo unakuta dar jua kali mtu amejificha uso na manguo hadi unamhurumia
Hayo mawazo yako watu mnachanganya uislamu na uarabu. Hijab ni jambo halikuwahi kuwepo kwenye mila zao waarabu
 
Back
Top Bottom