ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Yes nna ngozi ngumu asiliaKama ngozi yako ngumu kama kiazi kikuu sio wote ndugu,
Mionzi ya Jua si mizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes nna ngozi ngumu asiliaKama ngozi yako ngumu kama kiazi kikuu sio wote ndugu,
Mionzi ya Jua si mizuri.
Ngozi inatakata yenyew kwa lile joto plus hakuna kuchomwa na jua.Ungejua sasa huyo unayemuhurumia yupo salama kuliko wewe unayeacha ngozi yako ichomeke kwa jua kali, hujui mionzi ya jua inavyoharibu ngozi na wengine hadi kupelekea Kansa???
Na kama unadhani yule anayejifunika anafukutwa kwa joto umepotea hakuna watu wanaopata kipupwe cha asili kama wavaa baibui na majuba.
Na waarab ndio walioleta uislam so huwez kutenganisha hivyo vitu viwili hijab/kanzu na uislam.
Hijab ni Sharia katika Uislam. Hayo unayoyasema ni maoni yako binafsi. Waislam wanaifuata Dini yao.Hijab sio utamaduni wa waislam ni waarabu
Wanawake wa kiarabu huvaa hijabu na nikabu na wanaume vitambaa kujikinga na vumbi jangwani huko
Kiasili mashariki ya kati ni jangwa hivyo hayo mavazi yaliwasaidia kujikinga na vumbi na upepo mkali
Ila waafrika wakachukua km ilivyo unakuta dar jua kali mtu amejificha uso na manguo hadi unamhurumia
Sasa inakuuma nini Watu kuvaa stara zao?Utamaduni wa waarabu mmeureta afrika..huku jua kali..unakuta mmama kavaa yale majuba meusi jua kali la k.koo anazunguka nalo..eti dini ya mtume kama sio utumwa waakili sijui ni upumbavu gani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji847][emoji847]Tumekula nae sana mishkaki ya kiti moto.
Kama ww ni mwarabu sawa ila ngozi ya mwafrika inahitaji jua zaidiUngejua sasa huyo unayemuhurumia yupo salama kuliko wewe unayeacha ngozi yako ichomeke kwa jua kali, hujui mionzi ya jua inavyoharibu ngozi na wengine hadi kupelekea Kansa???
Na kama unadhani yule anayejifunika anafukutwa kwa joto umepotea hakuna watu wanaopata kipupwe cha asili kama wavaa baibui na majuba.
Huyu si ndiye alihamia Chadema baada ya mambo yake kutokwenda sawa na Serikali, [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Muigizaji wa Tanzania, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha na kwamba anafanya dua na kumtegemea Mungu katika mambo yote.
View attachment 2132592
Hii ndiyo kauli yake: “Mimi ni binti wa Kiislamu nafanya sana dua. Watu wanamuona Wema wa mtandaoni lakini binadamu tunakuwa na tunajifunza, tunaoamini katika Mungu, Mungu hukupa kwa wakati wake na wakati ambapo hakunipa aliwapa wengine, riziki inaenda kwa mzunguko.”
Hivi miaka yake ilishaanza kwenda mbele? Maana kuna muda ilisimama mpaka mimi nikampita.Hata house girl wangu ana nafuu kwa huyu bibi
Hiyo ni dini ya waarabu. Rudini kwenye dini zenu achaneni na utumwaHijab ni Sharia katika Uislam. Hayo unayoyasema ni maoni yako binafsi. Waislam wanaifuata Dini yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kawa Kama house girl
Ushawishi kujiuliza kwann wale watawa wanavaa hijab?Hiyo ni dini ya waarabu. Rudini kwenye dini zenu achaneni na utumwa
Maoni yangu ni kuwa watu waachane na dini za Waarabu na Wazungu na warudi kwenye asili yao. Ishu ya mavazi kila mtu ajiamulie mradi tu ajisitiri.Ushawishi kujiuliza kwann wale watawa wanavaa hijab?
Hijab ni vazi la sitara na sio vazi la muarabu.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Uwoya kaokoka kitambo ni mkristo safi kama hujui hilo usione tu vile anavyofanya mtembelee ujionee ni mtu wa din sanamshawishi na uwoya
Hayo mawazo yako watu mnachanganya uislamu na uarabu. Hijab ni jambo halikuwahi kuwepo kwenye mila zao waarabuHijab sio utamaduni wa waislam ni waarabu
Wanawake wa kiarabu huvaa hijabu na nikabu na wanaume vitambaa kujikinga na vumbi jangwani huko
Kiasili mashariki ya kati ni jangwa hivyo hayo mavazi yaliwasaidia kujikinga na vumbi na upepo mkali
Ila waafrika wakachukua km ilivyo unakuta dar jua kali mtu amejificha uso na manguo hadi unamhurumia