Kweli Mimi pia naona kapendeza Sana na hako kabody ingawa watu wanamdhihakiHiyo picha kawa mrembo balaa, siyo kama zamani alikuwa na makalio makubwaaa wala hakuvutia, sasa hivi kakonda kawa kitu si mchezo!
Utamaduni wa waarabu mmeureta afrika..huku jua kali..unakuta mmama kavaa yale majuba meusi jua kali la k.koo anazunguka nalo..eti dini ya mtume kama sio utumwa waakili sijui ni upumbavu gani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha [emoji1787][emoji1787]Alikua anatangaza matangazo ya “jiunge na 666” kudadeq
Binadamu hajawahi umbwa delicate hivyo kama mkateUngejua sasa huyo unayemuhurumia yupo salama kuliko wewe unayeacha ngozi yako ichomeke kwa jua kali, hujui mionzi ya jua inavyoharibu ngozi na wengine hadi kupelekea Kansa???
Na kama unadhani yule anayejifunika anafukutwa kwa joto umepotea hakuna watu wanaopata kipupwe cha asili kama wavaa baibui na majuba.
Hakuna binadamu asiekuwa na majuto, sababu, hakuna binadamu ambae yuko perfectySijamsemea yeye nimesema wadada kwa ujumla.
Hata hivyo atakua anamajuto iwe iwavyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo picha kawa mrembo balaa, siyo kama zamani alikuwa na makalio makubwaaa wala hakuvutia, sasa hivi kakonda kawa kitu si mchezo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee bibi jaman lolTumekula nae sana mishkaki ya kiti moto.
Muongo wee khaaaahAlikua anatangaza matangazo ya “jiunge na 666” kudadeq
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utamaduni wa waarabu mmeureta afrika..huku jua kali..unakuta mmama kavaa yale majuba meusi jua kali la k.koo anazunguka nalo..eti dini ya mtume kama sio utumwa waakili sijui ni upumbavu gani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo wengi wana akili ndogo sana, we angalia majadiliano yao kwenye mitandao ndio utajua.
Kama ngozi yako ngumu kama kiazi kikuu sio wote ndugu,Binadamu hajawahi umbwa delicate hivyo kama mkate
Na waarab ndio walioleta uislam so huwez kutenganisha hivyo vitu viwili hijab/kanzu na uislam.Hijab sio utamaduni wa waislam ni waarabu
Wanawake wa kiarabu huvaa hijabu na nikabu na wanaume vitambaa kujikinga na vumbi jangwani huko
Kiasili mashariki ya kati ni jangwa hivyo hayo mavazi yaliwasaidia kujikinga na vumbi na upepo mkali
Ila waafrika wakachukua km ilivyo unakuta dar jua kali mtu amejificha uso na manguo hadi unamhurumia
Huku jua kali kuliko uarabuni Nan kakwambia, bongo jua Kali kuliko Saudia?? Haupo siriazUtamaduni wa waarabu mmeureta afrika..huku jua kali..unakuta mmama kavaa yale majuba meusi jua kali la k.koo anazunguka nalo..eti dini ya mtume kama sio utumwa waakili sijui ni upumbavu gani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni memshangaa sana huuyu mpotevuUna umri gani? yaani hujui thamani ya tako?
Kati ya uarabuni na huku afrika wapi kuna jua kali?Utamaduni wa waarabu mmeureta afrika..huku jua kali..unakuta mmama kavaa yale majuba meusi jua kali la k.koo anazunguka nalo..eti dini ya mtume kama sio utumwa waakili sijui ni upumbavu gani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akipewa atakukuruka siku nzima na pakuanzia hapaoni.Una umri gani? yaani hujui thamani ya tako?