Kwani huyo mwanaume atakayemuoa ni bikra mkuu. Atapata mwanaume aliyewapitia wanawake kibao na yeye.Karma is a bitchSasa huyo atakeyemuoa anaoa kama ua au kama mke? Mbona Wema @sh@t0mbw@ sana jamani! Please give her a break.
BASI ACHANA NAE
Huyo no 6 Hussein Jumbe ana jina gani lingine almaarufu?Hiyo ni chakula ya watu wafuatao;
1.Mr.Blue
2.T.I.D
3.Handsome wa Msoga
4.Charles Baba
5.Mond wa Tandale
6.Hussein Jumbe
7.Kanumba
8.Young Dee
9.Q Chillah
10.The list goes on...
Sent using Jamii Forums mobile app
mmmh tupe prove! risiti!
HAHAHAHAHHAHAList nyingine ni ipi
Mbona Used car mnanunua Japan?Yupo poa sana huyu anti sema ameshatembea miles za kutosha
mimi bado nauliza mbona USED car toka japan mnanunua?Kwani huyo mwanaume atakayemuoa ni bikra mkuu. Atapata mwanaume aliyewapitia wanawake kibao na yeye.Karma is a bitch
tupe risiti tuone
mbona mimi nina sexy body kama ya Wema alafu Mzuri kama wema na sina laana?!
we acha kutudanganya bwana!
wewe mbona magari used toka Japan unanunua haulalamiki?